WanaCCM militegemea mtoe shukrani kwa mama kwa kuleta mafuriko. Si kila kitu ni Mama, anaupiga mwingi

Machawa fanyeni kazi yenu basi ya kusifia. Mvua hizo, mafuriko, mama Anaupiga mwingi. Naomba tumshukuru kwa mafuriko maana maisha yetu yanakuwa determined na Mama.
Au nakosea jamani
Duh ! 🙄😅
 
Machawa fanyeni kazi yenu basi ya kusifia. Mvua hizo, mafuriko, mama Anaupiga mwingi. Naomba tumshukuru kwa mafuriko maana maisha yetu yanakuwa determined na Mama.
Au nakosea jamani
hahaha, sawa kabisa kunawengine hata wakienda chooni utawasikia mama anaupiga mwingi huku wakikitazama kinyesi chao wenyewe
 
Machawa fanyeni kazi yenu basi ya kusifia. Mvua hizo, mafuriko, mama Anaupiga mwingi. Naomba tumshukuru kwa mafuriko maana maisha yetu yanakuwa determined na Mama.
Au nakosea jamamw
Mwigulu alipopata ajali ya kugonga punda kitu Cha kwanza alichosema alipohojiwa alianza kwa kumsifia magufuli
 
Back
Top Bottom