Wana maghorofa wenzangu mmesikia ya Kigamboni?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,603
105,723
IMG-20240419-WA0004.jpg


My Take
Tuache short-cut. Kama bajeti inabana jenga kawaida tu
 
Ghorofa la kwanza kuanguka nchini likiwa bado linajengwa ilitokea mwaka 1987 pale mtaa wa Msimbazi maeneo ya Kariakoo ambalo liliua mafundi watatu wa ujenzi huo akiwamo mtu mmoja na wapare wawili. Baadaye iligundulika kuwa injinia aliyekuwa anasimamia ujenzi hakuwa na sifa za structural engineering kabisa; alikuwa mpare mmoja fundi mwashi wa siku nyingi tu lakini hakuwa injinia.
 
Ghorofa la kwanza kuanguka nchini likiwa bado linajengwa ilitokea mwaka 1987 pale mtaa wa Msimbazi maeneo ya Kariakoo ambalo liliua mafundi watatu wa ujenzi huo akiwamo mtu mmoja na wapare wawili. Baadaye iligundulika kuwa injinia aliyekuwa anasimamia ujenzi hakuwa na sifa za structural engineering kabisa; alikuwa mpare mmoja fundi mwashi wa siku nyingi tu lakini hakuwa injinia.
"Mafundi watatu,mtu mmoja na wapare wawili"Mkuu hapa 🤔
 
Back
Top Bottom