Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 832
Ujumbe kutoka serikalini naona umejichanganya mno, nasema umejichanganya kwa sababu serikali yenyewe haijui serikali ni nini au ni nani.....
Tahadhari za ni lugha ipi ni matusi au sio matusi haiko bayana, ni sawa na mtu kuogopa kivuli chake mwenyewe au mkono wako wa kushoto unakuwa na siri ambayo mkono wa kulia haupaswi kujua! Mambo haya ni uhayawani.
Wana JF, huyu Field Marshal namtilia mashaka kama aliwahi hata kutumia manati utotoni achilia mbali kuwinda sungura.. ameleta ujumbe kutoka serikalini ktuonya na kututahadharisha lugha ipungue makali.
Field Marshal asome posting ya BRAZAMENI ya kwanza ambayo inaongea mengi mno yaliyo halisi na yanayogusa, awapelekee hao wanaojiona ni untouchable.
BRAZAMENI kazi nzuri unafanya.
Tahadhari za ni lugha ipi ni matusi au sio matusi haiko bayana, ni sawa na mtu kuogopa kivuli chake mwenyewe au mkono wako wa kushoto unakuwa na siri ambayo mkono wa kulia haupaswi kujua! Mambo haya ni uhayawani.
Wana JF, huyu Field Marshal namtilia mashaka kama aliwahi hata kutumia manati utotoni achilia mbali kuwinda sungura.. ameleta ujumbe kutoka serikalini ktuonya na kututahadharisha lugha ipungue makali.
Field Marshal asome posting ya BRAZAMENI ya kwanza ambayo inaongea mengi mno yaliyo halisi na yanayogusa, awapelekee hao wanaojiona ni untouchable.
BRAZAMENI kazi nzuri unafanya.