Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,631
...hahahahaha.,dah nimelikosa kizembe;Mkuu Pilau la nguvu![]()
![]()
![]()
..watoto wa Ilala tena kwa misotojo!!..
...hahahahaha.,dah nimelikosa kizembe;Mkuu Pilau la nguvu![]()
![]()
![]()
Hapa Pilau haikuwa issue kwa watoto wa ilala, tulikuwa na watoto wa Jiji zima la Dar-salaam walifurika hapa,sijawahi kuona umati mkubwa katika mazishi hapa ilala kama wa Marehemu Sittu Mwasa....hahahahaha.,dah nimelikosa kizembe;
..watoto wa Ilala tena kwa misotojo!!..
Mama yetu ilala ni mwana CCM na mwenyekiti wa serikali ya mtaa ilala kasuru kifupi naweza kusema ni mwana Dar es Salaam