Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,018
Nashukuru sana Geeque.. this is what a team is.. there is no "i" in it!
Lakini jamani mie nadhani kuna umuhimu wa kufahamu nani wanaohujumu magazeti kama TZ Daima na Raia Mwema kila yanapokuwa na habari nzito.I was surprised kwamba kwanini hadi muda huu TZ Daima haliko mtandaoni.Ni hujuma ndani ya magazeti hayo au.....?Wataalam wa IT mnisaidie hapo
mzee hapo umenipa wazo.. ngoja nikutumie maana podomatic hadi waibadili format nadhani ndio maana player inakimbia. Nitakutumia unedited..
...nawe mwanakiji unapenda cheap sana,hivyo vipodomatic sijui vipodozi ni usumbufu mtupu,hebu rahisisha mambo teknoloji inaruhusu sasa