Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,427
- 27,047
Hifadhi mpaka mwisho wa muhula then una-submit kwa wazazi.. Hiyo ndo mifumo ya shule nilizosoma..
.....Lakini hizi simu kwa mtazamo mwingine zinaweza kuwasaidia watoto kujifunza vizuri, wanaweza wakawa wanaulizana academic questions on what's up.
kweli kabisa...nina shemeji yangu, form six now nakumbuka alikua anataka smart phone basi tricks halizokua ana
tumia ili nimnunulie zilikua hatari sana
Sitaki hata kukumbuka mkuu... mimi pia ni binadamuSasa ilikuaje...uliweza kujinasua kwa tricks hizo...au wimbo ule uliimbwa wa: Shemeji, shemeji ......(malizia)
Sitaki hata kukumbuka mkuu... mimi pia ni binadamu
Hamna mkuu...halafu kipindi hicho dada mtu tulikua tunazinguana mno, Janja akawa anatumia advantage hiyo, afu kisu kulikoAaaaaaaaah, wewe dogo (kwangu mimi) una tatizo, yaani uvumilivu ulikushinda????!!!!!.....
Hizi simu ziachane tuu wanafunzi wakae bila simu utasema wawe wanaulizana at the end of the day izo simu zitukuwa zinatumika kweny mitianiLakini hizi simu kwa mtazamo mwingine zinaweza kuwasaidia watoto kujifunza vizuri, wanaweza wakawa wanaulizana academic questions on what's up.