Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,355
- 33,195
Yupo kazini huyo ................anabebaKwa hiyo huyo ndio kama wale jamaa wa magari yanayopeleka uchafu dampo!?
Au ni kaamua TU kutafuta followers tik tok!?
zipo nyingine nyingi tu, kuna zile za kutunza vizee tena vingine vina dementia vitakutemea hadi mate, kuna kusaidia fundi kwenye magereji, kuna kufukua mitaro hata kama vinyesi vyao vinatokana na pizza, ukipata dili la saidia fundi kwenye uvuvi hata kama ni kupakua au kupakia samaki au kusafisha n.k, kazi zipo ila hela yake utakuwa na uchungu nayo sana.
Ni kweli lakini hizo kazi ulizo sema mpaka uende kozi yake pasipo kwendakujifunza hupewi hizo kazi ila kazi ya kubeba takataka haina kozi unakwenda kuomba na una ajiriwa tu.Kazi za Kubeba takataka Ulaya wanaofanya kazi wengi ni Wahindi Wa-Romania na mataifa mengine ya kiafrika .Wazungu ni wachache sana kufanya kazi hiyo ya kubeba takataka.zipo nyingine nyingi tu, kuna zile za kutunza vizee tena vingine vina dementia vitakutemea hadi mate, kuna kusaidia fundi kwenye magereji, kuna kufukua mitaro hata kama vinyesi vyao vinatokana na pizza, ukipata dili la saidia fundi kwenye uvuvi hata kama ni kupakua au kupakia samaki au kusafisha n.k, kazi zipo ila hela yake utakuwa na uchungu nayo sana.
wengi wa wanaoenda ulaya bila kisomo na hawapati kazi wanaishiaga kuwa mashoga tu kwasababu kwa hakika wamagaribi huwa hawasaidii mtu. hao wazungu unawaona wanakuja huku wanajifanya kutoa msaada usifikiri wakimkuta mwafrika kule watampa msaada, ni wachungu kinoma.
Kazi isiyokuwa na kisomo chochote ndio hiyo Mkuu.Kazi zingine mpaka uwe na CV ndipo utakapo pata kazi pasipo na Cv hupati kaziKwaiyo kaz ni iyo tuu?