Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Mkuu ungekua na hela kiasi ningekushauri uchukue likizo uende mbali kabisa ikiwezekana hata nje ya nchi, u-refresh mind, huko usifungue JF wala facebook, wala usiwaze kabisa kuhusu CCM na walivyokufanyia,Ndugu wanajf ninyi ndio jamii kubwa yakutoa ushauri mzuri hapa Tanzania, mimi nimebahatika kupata takribani watoto 4 na kila mtoto na mama yake kulingana na mazingira ya kiafrika. Lakini cha kushangaza wakwe zangu wamegeuka kuwa wajuvi wa mambo, yaani wao basi kila kitu wakiuliza kuhusu mimi wao wanatoa taarifa yaani taarifa za Uongo mwanzo mwisho.
Hivi mwanamke ukizaa naye ndio anakuwa ameshakujua maisha yako yote....,tena sio mkeo, hivi mwanamke ukimuoa hata mambo yako mengi hajayajua na ukamuacha ndio kishawajua mpaka marafiki zako ambao hata hujawahi kumtambulisha......,
Mimi nashangaa imefikia hatua wakwe zangu wameunganishwa na wanasiasa ili wanivuruge wakitoa taarifa za uongo kila wakati. Yaani hawana hata uelewa wa Ukoo wangu wala maisha yangu wala elimu yangu wala mapito yangu, lakini taarifa wanazotoa kwa jamii ni za kushangaza sana, mpaka nabaki na shangaa sana, tena wakwe wenyewe hata siwajui hata kwa sura ila kwa kaumarufu kangu wao wanalazimika kunijua.
Ndugu zangu hata michepuko nayo inatoa taarifa za kubumba bumba, hivi sisi Watanzania tunatabia gani....mbona kila kipya kinyemi kinakuwa gumzo...kuoa familia zetu hizi za uswahilini yataka MOYO.
Mfano mkuu kuna mmjomba mkwe mmoja anafanya kazi pale njia ya kuelekea magogoni hana hata ABC zangu lakini anavyopotosha juu yangu na kuwalazimisha jamii inayonizunguuka waniwekee vikwazo (mwipae nilisha achana naye na ameolewa). Majangaaaaaaaaaaa
Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
NAOMBENI USHAURI.
Ndugu wanajf ninyi ndio jamii kubwa yakutoa ushauri mzuri hapa Tanzania, mimi nimebahatika kupata takribani watoto 4 na kila mtoto na mama yake kulingana na mazingira ya kiafrika. Lakini cha kushangaza wakwe zangu wamegeuka kuwa wajuvi wa mambo, yaani wao basi kila kitu wakiuliza kuhusu mimi wao wanatoa taarifa yaani taarifa za Uongo mwanzo mwisho.
Hivi mwanamke ukizaa naye ndio anakuwa ameshakujua maisha yako yote....,tena sio mkeo, hivi mwanamke ukimuoa hata mambo yako mengi hajayajua na ukamuacha ndio kishawajua mpaka marafiki zako ambao hata hujawahi kumtambulisha......,
Mimi nashangaa imefikia hatua wakwe zangu wameunganishwa na wanasiasa ili wanivuruge wakitoa taarifa za uongo kila wakati. Yaani hawana hata uelewa wa Ukoo wangu wala maisha yangu wala elimu yangu wala mapito yangu, lakini taarifa wanazotoa kwa jamii ni za kushangaza sana, mpaka nabaki na shangaa sana, tena wakwe wenyewe hata siwajui hata kwa sura ila kwa kaumarufu kangu wao wanalazimika kunijua.
Ndugu zangu hata michepuko nayo inatoa taarifa za kubumba bumba, hivi sisi Watanzania tunatabia gani....mbona kila kipya kinyemi kinakuwa gumzo...kuoa familia zetu hizi za uswahilini yataka MOYO.
Mfano mkuu kuna mmjomba mkwe mmoja anafanya kazi pale njia ya kuelekea magogoni hana hata ABC zangu lakini anavyopotosha juu yangu na kuwalazimisha jamii inayonizunguuka waniwekee vikwazo (mwipae nilisha achana naye na ameolewa). Majangaaaaaaaaaaa
Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
NAOMBENI USHAURI.
Kisandu haishiwi matukio!
Ova
Huyu chalii sijawahi kumwelewa aiseee embu pitia mirembe kwanza basi kabla hujaja kutuchosha humu samahani lakini sikuelewagi kabisa sijui kwaniniNdugu wanajf ninyi ndio jamii kubwa yakutoa ushauri mzuri hapa Tanzania, mimi nimebahatika kupata takribani watoto 4 na kila mtoto na mama yake kulingana na mazingira ya kiafrika. Lakini cha kushangaza wakwe zangu wamegeuka kuwa wajuvi wa mambo, yaani wao basi kila kitu wakiuliza kuhusu mimi wao wanatoa taarifa yaani taarifa za Uongo mwanzo mwisho.
Hivi mwanamke ukizaa naye ndio anakuwa ameshakujua maisha yako yote....,tena sio mkeo, hivi mwanamke ukimuoa hata mambo yako mengi hajayajua na ukamuacha ndio kishawajua mpaka marafiki zako ambao hata hujawahi kumtambulisha......,
Mimi nashangaa imefikia hatua wakwe zangu wameunganishwa na wanasiasa ili wanivuruge wakitoa taarifa za uongo kila wakati. Yaani hawana hata uelewa wa Ukoo wangu wala maisha yangu wala elimu yangu wala mapito yangu, lakini taarifa wanazotoa kwa jamii ni za kushangaza sana, mpaka nabaki na shangaa sana, tena wakwe wenyewe hata siwajui hata kwa sura ila kwa kaumarufu kangu wao wanalazimika kunijua.
Ndugu zangu hata michepuko nayo inatoa taarifa za kubumba bumba, hivi sisi Watanzania tunatabia gani....mbona kila kipya kinyemi kinakuwa gumzo...kuoa familia zetu hizi za uswahilini yataka MOYO.
Mfano mkuu kuna mmjomba mkwe mmoja anafanya kazi pale njia ya kuelekea magogoni hana hata ABC zangu lakini anavyopotosha juu yangu na kuwalazimisha jamii inayonizunguuka waniwekee vikwazo (mwipae nilisha achana naye na ameolewa). Majangaaaaaaaaaaa
Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
NAOMBENI USHAURI.