Wakili Kibatala, waalike Majini na hata Malaika sio Maaskofu na Jumuiya tu za Kimataifa tu, Lakini Serikali Haitoyumba katika kusimamia sheria

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
439
1,589
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Sema tu sisiemu
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Ukishaandika ujinga kama huu huwa mnalipwa au mnaishia kuwa sodomized tu ?
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
hawana jipya chadema na kama watu wenyewe wanaowategemea ndiyo hawa kelele nyingi na vichekesho vingi mahakamani with zero substance wataangukia pua kila siku , bora hata yule mkurugenzi wa sheria dr nshala ana akili ata akiongea unasema kuna kiongozi anaongea kuliko hawa wapenda sifa
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Kwa nini unapenda shari kuliko Amani? Unapata faida gani kutokuwapo kwa Amani? Naona nchi inakoelekea ni kuwapo kwa vijana hatari na iko siku kutakuja kutokea mauji ya halaiki kutokana na ulimbukeni wa vijana kuamini wao wanaipenda CCM kuliko.Vijana tupende amani madaraka yapo tu,usiumize wengine kupenda madaraka.
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.

Naunga mkono


Soma pia: Mabalozi watakaohudhuria kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu et al, Wafukuzwe kutoka nchini
 
CCM hawanaga akili hata Mmoja wanaforce Kesi ambazo zinaenda kuwadhalilisha mawakili wa Serekali, nimeona Mmoja kwenye group letu la familia analalamika kweli kweli.
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Tulia ww mboga mboga kibatala awabatize kw moto.

Uhaini sio maneno uhaini ni vitendo, mmefeli yena bigtime
 
Kwa nini unapenda shari kuliko Amani? Unapata faida gani kutokuwapo kwa Amani? Naona nchi inakoelekea ni kuwapo kwa vijana hatari na iko siku kutakuja kutokea mauji ya halaiki kutokana na ulimbukeni wa vijana kuamini wao wanaipenda CCM kuliko.Vijana tupende amani madaraka yapo tu,usiumize wengine kupenda madaraka.
Inaonekana jamaa huwa anaumia sana akiona watu wengine wakifanikiwa na kupewa sifa sitahiki. Anamtegemea polisi ambaye naye ni mtu tu kama yeye, kile si cheo tu, na ni ajira kama zingine. Kazi yao ni kulinda raia na mali zao, siyo kuzuia haki za kikatiba za raia
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Last kaongea. Hongera
 
Wewe ni wakili wa kawaida sana ila unapenda kufanya Touting ili upate wateja, wapo mawakili wazuri akina Majura Magafu lakini hawana shobo wala nini ila wewe ndio unajiona unajua sheria sana kuliko yeyote yule.

Tarehe 24 utakutana na mawakili wa serikali wanaojua sheria kuliko wewe, siku hiyo alika Malaika, Majini, Mashetani waje kusikiliza kesi hiyo, sio Jumuiya za Kimataifa na Maaskofu wako hao, Kamanda Muliro ameshatoa tamko, mnasubiriwa mjichanganye yawakute.
Na wewe na Elimu Yako dogo uliyepata kazi kwa mgongo wa viongozi wa CCM unapanua mdomo Leo.Nimesoma na wewe uwezo wako ni mdogo sana Isingekuwa CCM na kuhakikishia usingepata kazi popote.Wewe unatumia tumbo na Matako kufikiri
 
hawana jipya chadema na kama watu wenyewe wanaowategemea ndiyo hawa kelele nyingi na vichekesho vingi mahakamani with zero substance wataangukia pua kila siku , bora hata yule mkurugenzi wa sheria dr nshala ana akili ata akiongea unasema kuna kiongozi anaongea kuliko hawa wapenda sifa
Jifunze hata kuandika basi!Hata kujua sehemu ya herufu ndogo na kubwa hujui.Sehemu ya kuweka kituo na mkato hujui.Halafu wewe utakuwa na Elimu ya kupambanua jambo lolote la kisheria ?Umeishia darasa la ngapi?Maana hata kijana wangu wa darasa la tano anakuzidi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom