Huyu jamaa haogop kurogwa? Teh teh
kwa Dar ukiwategemea hao kujua uhalali wa kiwanja imekula kwako...nao ni majipu...watu wengi wametapeliwa na vimikataba wanavyo vyense signatures na mihuri ya kijiji sijui mtaa sijui kata...wewe acha tu...hawa watu wamenunua hayo maeneo chini ya usimamizi na idhini ya serkali mtaa ambayo IPO kisheria na kikatiba...
Walitapeliwa, na mahakama imethibitisha hilo, mkuu wewe una wasiwasi na integrity ya mahakama zetu?, kama una wasiwasi peleka malalamiko yako mahakamanihawa watu wamenunua hayo maeneo chini ya usimamizi na idhini ya serkali mtaa ambayo IPO kisheria na kikatiba...
aliye watapeli nani? jee serkali matapeli?Walitapeliwa, na mahakama imethibitisha hilo, mkuu wewe una wasiwasi na integrity ya mahakama zetu?, kama una wasiwasi peleka malalamiko yako mahakamani
Nenda kwenye mahakama iliyotoa hukumu ili upewe nakala ya hukumu mkuu, mimi ukinihoji sana utakuwa unanionea tu mkuualiye watapeli nani? jee serkali matapeli?
hili tunajadiliana tu kiongozi!; ili mimi na wewe yasije yakatukuta!Nenda kwenye mahakama iliyotoa hukumu ili upewe nakala ya hukumu mkuu, mimi ukinihoji sana utakuwa unanionea tu mkuu