Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,805
- 11,802
Raisi wa Tanzania Leo atafungua Canal Mkondo wa Bahari unaoziunganisha Bahari ya Hindi lake Victoria,Tanganyika na Nyasa Mkondo huo utazisaidia sana Nchi Masikini jirani na Tanzania Tajiri wa kila kitu kuweza kuwa na bandari zao. Wakati huo huo Tanzania Itatoa Mikopo ya kuondoa umasikini kwa raia wote wa nchi za africa Mashariki na kati pamoja na Africa ya Kusini msaada huo utasiniwa na maraisi wa nchi husika watakaofika Ikulu ya Dodoma Satellite City.
Waziri wa Digital atazindua Ubongo mpya wa binadamu wenye uwezo wa hali ya juu katika kutunza kumbukumbu ambao utakuwa replaced na ubongo wa Wananchi wote wa Tanzania huku Chuo Kikuu cha Technologia kikizindua Mabawa kwa ajili ya Binadamu ili nao waluke kama ndege.
Waziri wa Haki amesisitiza Binadamu wote ni Sawa na wana haki sawa hivyo mpango wa kuzisaidia Nchi zote Duniani kufanana kama Tanzania kiuchumi na Siasa safi na Maendeleo ni Lazima hivyo ameitisha Mkutano wa Wakuu wote Duniani wakiwepo al qaeda kushiriki mkutano huo ili dunia iwe salama Tanzania haiwezi kulinda dunia peke yake haswa na huu uvamizi wa mara kwa mara wa Aliens kutoka sayari za mbali maana Sayayari za karibu zote Tanzania inazitawala kwa Haki.
Chuo cha kilimo kinazindua mbegu ndogo ambazo zitazuia njaa na kurutubisha mwili mbegu hizo binadamu atakula mara moja kwa Miaka kumi ndipo atasikia njaa tekinolojia iliyotumika ni ya hali ya juu sana kwani hewa ya oxygen ikivutwa bakteria huvutiwa kwa wingi mbegu inawegeuza chakula njaa hupotea na mwili hukaa sawa na uchafu hutoka kwa njia ya ngozi.
Waziri wa Digital atazindua Ubongo mpya wa binadamu wenye uwezo wa hali ya juu katika kutunza kumbukumbu ambao utakuwa replaced na ubongo wa Wananchi wote wa Tanzania huku Chuo Kikuu cha Technologia kikizindua Mabawa kwa ajili ya Binadamu ili nao waluke kama ndege.
Waziri wa Haki amesisitiza Binadamu wote ni Sawa na wana haki sawa hivyo mpango wa kuzisaidia Nchi zote Duniani kufanana kama Tanzania kiuchumi na Siasa safi na Maendeleo ni Lazima hivyo ameitisha Mkutano wa Wakuu wote Duniani wakiwepo al qaeda kushiriki mkutano huo ili dunia iwe salama Tanzania haiwezi kulinda dunia peke yake haswa na huu uvamizi wa mara kwa mara wa Aliens kutoka sayari za mbali maana Sayayari za karibu zote Tanzania inazitawala kwa Haki.
Chuo cha kilimo kinazindua mbegu ndogo ambazo zitazuia njaa na kurutubisha mwili mbegu hizo binadamu atakula mara moja kwa Miaka kumi ndipo atasikia njaa tekinolojia iliyotumika ni ya hali ya juu sana kwani hewa ya oxygen ikivutwa bakteria huvutiwa kwa wingi mbegu inawegeuza chakula njaa hupotea na mwili hukaa sawa na uchafu hutoka kwa njia ya ngozi.