Wakati Acacia ikifungasha virago, tukumbushane mambo ya kijinga tuliyokuwa tunafanya mgodini

Ngazi ya kupanda juu iko chini kidogo mkuu

Hii ni TEREX
NTE260.jpg


Hii ni Triple 7
img_1987.jpg


Hii ni 797
e62347fe215885e962e78e7935a022c1.jpg


Umeona ngazi zake zilipo mkuu ziko mbele na ni ndefu
Hizo ni open cut mining.
Hapa Tanzania zinatumika kwenye migodi ya Geita, Nyamongo, Tulawaka nk:
 
517750e54608c54c8dc2e8674756ed53.jpg
e7c711235e215f3e092fc2dc0759e5fd.jpg
Scoop iliyopinduka chini
d8d0ccd6b632545cce4747a9a4111720.jpg
Miner wakibadirishana story chini
cbdffa9f78b1d1d8887bcbf484d487aa.jpg
Pozi na mashine za chini
14e99fb873963746004163400f768840.jpg
Kipindi hicho huko ndiko ilikuwa level ya chini zaidi
a315409c05f68cd6f684df1ee5e5554e.jpg
Wazee wa kazi
03fbb38cdbeade6e4feedaa279762168.jpg
Chocho za chini
9efe6a2e39f16139cf44689a9684e8ba.jpg
Chumba cha kujiokoa chini chenye uwezo wa kuchukua watu wanane tu
87bd90f307e7c0753769c527655f1a13.jpg
Karakana ya mashine chini ya ardhi (mgodini)
1106b81465a545afb49cefd5d1a7da76.jpg
Mashine kubwa za kutobolea mwamba
3aba76e8079141a8437d6aaf885584e9.jpg
Wazugaji
cff987f32891f8fe62b84ea0da3efa12.jpg
Wazugaji
9352df57d1348c36940cc65acc4cab0a.jpg
Dreva na gari katika Pozi chini shimoni
675c2a64161cb5ab5f45a6f7e00f4477.jpg
Wanaume na pozi lao shimoni
Mimi ni mmoja wa hao wazugaji
 
Naomba nikujibu swali moja baada ya lingine kutokana na kadri nitakavyo kuwa nikipata muda.

Jibu la swali # 1

Janga kubwa linalo hofiwa kuliko majanga yote kwenye migodi ya underground ni Moto.
Moto ni janga linalo ogopwa kuliko hata kuanguka kwa mwamba na pengine kuziba njia.
Kwa mgodi wa Bulyanhulu, machine zimefungwa vifaa maalum ambavyo vina koki maalum ambayo huweza kujifungua na kuzima moto iwapo machine ama injini itaanza kuungua.
Pia kule chini ya mgodi kuna fire hoses karibu kila baada ya mita 50 kwaajili ya kudhibiti moto iwapo utatokea.
Pia kuna fire suppression system ambayo hizi zinauwezo wa kujifungua pindi tu zinapo hisi moshi totoro ama moto, na hufungwa kwenye kila sehemu ya juu katika mitaa yote pamoja na karakana zote zilizopo chini ya ardhi/mgodini.
Ni marufuku kuvuta sigara ukiwa mgodini underground. Na iwapo ukikamatwa / ulithibitika na kosa la kuvuta sigara ukiwa mgodini, adhabu yake ni kufukuzwa kazi pasipo maelezo.

Nitaendelea kujibu swali la pili

Asanteni kwa elimu hii:

Nauliz;
1. Moto husababishwa na nini hasa underground na huwa miners wanajiokoaje na janga hili?

2. Je, kuna waliojaribu kuiba dhahabu na walitokaje?(tofauti na aliyezuga ugonjwa). Maana zile scanner c mchezo.

3. Mbunge msukuma aliwahi sema walikuwa wakiuziwa mchanga kwa abt elfu 80, then walipoufanyia maalifa walipiga millions, je walinzi wanaibaje mchanga na huutoroshaje?

4. Life span ya migodi yetu ni kiasi gani kimebaki na kwa mining researches, je, kuna uwezekano wa kuwa na other centers with great deposit ya madini kama/zaidi ya iliyopo?

5. Ni migogoro gani hutokea underground kati ya miners na husuruhishwa namna gani?
 
Asanteni kwa elimu hii:

Nauliz;
1. Moto husababishwa na nini hasa underground na huwa miners wanajiokoaje na janga hili?

2. Je, kuna waliojaribu kuiba dhahabu na walitokaje?(tofauti na aliyezuga ugonjwa). Maana zile scanner c mchezo.

3. Mbunge msukuma aliwahi sema walikuwa wakiuziwa mchanga kwa abt elfu 80, then walipoufanyia maalifa walipiga millions, je walinzi wanaibaje mchanga na huutoroshaje?

4. Life span ya migodi yetu ni kiasi gani kimebaki na kwa mining researches, je, kuna uwezekano wa kuwa na other centers with great deposit ya madini kama/zaidi ya iliyopo?

5. Ni migogoro gani hutokea underground kati ya miners na husuruhishwa namna gani?
Jibu la swali # 2

Nikikumbuka tukio langu mimi binafsi niliwahi kupiga kipande cha dhahabu kama robo kilo, kisha nikajivisha bomu ili nitoke nje na hapa sikua nimemshirikisha yeyote.
Kumbuka palikua na mageti matano yenye ulinzi mkali sana.
Nilipita geti la kwanza pasipo picha kuungua.
Nikaingia geti la pili na nikapita, kumbe mzigo ulionekana pale geti # 2 kwa kutumia scanner.
Wao waliniacha ili niende hadi geti # 3 ili wakati huo wakiwasiliana na wakubwa na nikamatwe na ushahidi.
Nilipofika geti # 3 nikahisi kama tayari nimeahtukiwa, sababu walikua wanazuga huku wakinichelewesha, hapo kuna mdada flani security alinikonyeza na mimi bila kuchelewa nikajiongeza.
Nikawaomba nikakojowe pale pale searching room kuna maliwato..... , kidogo walionekana kugoma kiaina, ndipo nikawatishia kuvua nguo pale na nikunye kabisaaaaaaaa..... .
Walipoona hivyo mwanaume nimeanza kuchojoa, wakajua hapo nitawageuzia kesi ya kunidhalilisha na ndipo walipo niruhusu nikakojowe.
Mwanamume sikufanya kosa baada ya kupiga akili chap kwa haraka nikiwa chooni, niliitoa ile dhahabu na nikaitupia chooni na kisha nikaflash faster.
Kwakifupi nilishinda kesi pamoja na kwamba walinisimamisha kazi lakini walikosa ushahidi....

Pale kale wakati watu wengi hawajajua security systems zikiwamo CCTV camera zinavyo fanya kazi, watu wengi walikua wakiiba kiholeala na wali kamatwa na hata kufukuzwa kazi.
Lakini baada ya watu wengi kutambua na kujua jinsi systems za ulinzi zilivyo, wizi ulikua ukifanyika kwa ushirikiano wa Plants operators, Mafundi/Technicians, Walinzi/CCTV, Drivers pamoja na shatf bosses.
Hapa kila mmoja alimtegemea mwingine ili kufanikisha wizi na pasipo kuacha alama. Kweli kwa style hiyo wizi wa piwa dhahabu ulikua ukifanyika na wafanyakazi kwa kushirikiana wooote kwa pamoja. Lakini baadae ilikuja ikaharibika baada ya watu kuingia tamaa na dhuluma ikaanza, na hapo ndipo watu wakaanza kuchongeana.
 
Asanteni kwa elimu hii:

Nauliz;
1. Moto husababishwa na nini hasa underground na huwa miners wanajiokoaje na janga hili?

2. Je, kuna waliojaribu kuiba dhahabu na walitokaje?(tofauti na aliyezuga ugonjwa). Maana zile scanner c mchezo.

3. Mbunge msukuma aliwahi sema walikuwa wakiuziwa mchanga kwa abt elfu 80, then walipoufanyia maalifa walipiga millions, je walinzi wanaibaje mchanga na huutoroshaje?

4. Life span ya migodi yetu ni kiasi gani kimebaki na kwa mining researches, je, kuna uwezekano wa kuwa na other centers with great deposit ya madini kama/zaidi ya iliyopo?

5. Ni migogoro gani hutokea underground kati ya miners na husuruhishwa namna gani?
jibu la swali # 3

Alicho wahi kukisema Musukuma, ni kitu cha kweli kabisa. Hata mimi binafsi niliwahi kushiriki mchezo huo nikiwa kama mfanyakazi enzi zileeeeeeeee....


jibu la swali # 4

Sina hakika na miaka ya kuishi mgodi kama Bulyanhulu ukingali unazalisha dhahabu.
Lakini kuna mgodi flani upo Peth Australia. Ule mgodi niliwahi kuutembelea kwaajili ya kupata mafunzo kwa vitendo. Mgodi ule unafanana sana na mgodi wa Bulyanhulu. Nakumbuka sikuzile niliuliza umri wa mgodi ule, niliambiwa una umri wa zaidi ya miaka 92. Bila shaka hadi leo mgodi ule bado ukingali unazalisha madini ingawa sio kwa kiwango kile kama walipo anza mapema.


jibu la swali # 5

Miner wana upendo sana, na wanakuaga na ushirikiano mkubwa sana wanapo kuwa underground.
Tatizo kubwa la Miner na management ni akipata pesa/mshahara, lazima pawe na watu kadhaa watoro kazini na hadi pengine wamalize pesa ndipo hukuja kazi.
Pia tatizo lingine la Miner ni kuja kazini wakiwa wamelewa. Hili ni tatizo kubwa sana linalo weza likasababisha mtu kupata/kusababisha ajali kwa kutumia mitambo ama machine wakati bado ana kilevi.
 
jibu la swali # 3

Alicho wahi kukisema Musukuma, ni kitu cha kweli kabisa. Hata mimi binafsi niliwahi kushiriki mchezo huo nikiwa kama mfanyakazi enzi zileeeeeeeee....


jibu la swali # 4

Sina hakika na miaka ya kuishi mgodi kama Bulyanhulu ukingali unazalisha dhahabu.
Lakini kuna mgodi flani upo Peth Australia. Ule mgodi niliwahi kuutembelea kwaajili ya kupata mafunzo kwa vitendo. Mgodi ule unafanana sana na mgodi wa Bulyanhulu. Nakumbuka sikuzile niliuliza umri wa mgodi ule, niliambiwa una umri wa zaidi ya miaka 92. Bila shaka hadi leo mgodi ule bado ukingali unazalisha madini ingawa sio kwa kiwango kile kama walipo anza mapema.


jibu la swali # 5

Miner wana upendo sana, na wanakuaga na ushirikiano mkubwa sana wanapo kuwa underground.
Tatizo kubwa la Miner na management ni akipata pesa/mshahara, lazima pawe na watu kadhaa watoro kazini na hadi pengine wamalize pesa ndipo hukuja kazi.
Pia tatizo lingine la Miner ni kuja kazini wakiwa wamelewa. Hili ni tatizo kubwa sana linalo weza likasababisha mtu kupata/kusababisha ajali kwa kutumia mitambo ama machine wakati bado ana kilevi.
Asante mkuu, takuja kukupa kapani nikifika home usiku huu. Nilikuwa mbali na hadi sasa sijafika.
 
Dumper nalo halina usukani?
Mkuu naona umevutiwa sana na kazi za u miner hususani mashine za underground. Yes ni kweli halina usukani kama usukani wa magari mengine unayoyafahamu mkubwa wangu. Naomba mkuu [HASHTAG]#jiwedogo[/HASHTAG] ujaribu kuelezea zile mashine zinazofuata kifusi sehemu hatari (sehemu ya mwamba usio imara) Kwa kutumia remote.
 
Mimi ni mmoja wa hao wazugaji
Hahahahahhaaaaaa hongera mkuu. Kazi na dawa. Wazugaji wanakuambia kama dumper hadi linachakaa je miili yetu!? Hapo mzugaji anatafuta box tupu la ANFO analichana dizaini ya mkeka harafu analala taa ikiwa imeangalia juu
NB Mkuu uko kwenye picha ipi, samahani sana ikiwezekana niifute
 
Hata Buzwagi mkuu zipo ndo maana nilisema kule juu jamaa alieambiwa inaweza kukanyaga cruiser ikapotea walimaanisha ni mashine za Open Pit Mining sio za UG
Hizo ni open cut mining.
Hapa Tanzania zinatumika kwenye migodi ya Geita, Nyamongo, Tulawaka nk:
 
Back
Top Bottom