Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
Kwani Mbowe siyo diaspora? 😂😂😂

Chadema mko gizani Wengi 🐼
 
Kwa muda.mrwfu sasa nimekuwa nikiwaeleza hapa.jukqaabinkuwa Lussu ni mgonjwa wa asili ana maradhi yanayoitwa usonji au "autism" kwa Kingereza. Hamnielewi mpaka sasa?

Mtu mwenye autism aliyonayo lussu huwa ni king'ang'anizi, haambiliki, hasikii mpaka alitakalo alipate au afe.

Hatowacha kumg'ang'ania mbowe na mama Samia hata iweje, labda afe yeye au wao.

Apate asipate uenyekiti, hatowacha kunsakama mbowe, halikadhalika mama samia.

Ubongo wa mwenye autism haujui kufuta vitu, wanakuwa ni watu wa ajabu sana na kila mmoja humjia kiaina yake.

Haya chadomo chaguweni mwehu.
bibi kizee mbona unaongea kama umetoroka kwenye mahandaki ya Gaza na lebanoni? rudi kapambane na myahudi akuvunje kiuno hicho, hizi siasa huziwezi, unaongea kama wewe mwenyewe ndio mwenye usonji sasa.
 
Acha matumizi mabaya ya jina la Yesu. Usirudie tena. Wewe hujui kuwa huyo mtu hata Mungu mwenyewe amemkataa? Mungu hana ushirika na walevi na watoao rushwa.
 
Back
Top Bottom