Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Shotocan

JF-Expert Member
Nov 21, 2023
6,046
12,063
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
 
Nyie mavuvuzela ya majizi maccm humu jf mmesahau kwamba chama chenu kina jambo lake dodoma mko busy humu kuanzsha thread za kumtaka mume wenu mbowe awe mwenyekiti hv nyie ccm ndo mnataka mtuchagulie mwenyekt wa chama taifa leo hii mmeanza lini kumpenda mbowe na chadema aisee hii nchi imejaa matahira sn hasa maccm
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Nyie mavuvuzela ya majizi maccm humu jf mmesahau kwamba chama chenu kina jambo lake dodoma mko busy humu kuanzsha thread za kumtaka mume wenu mbowe awe mwenyekiti hv nyie ccm ndo mnataka mtuchagulie mwenyekt wa chama taifa leo hii mmeanza lini kumpenda mbowe na chadema aisee hii nchi imejaa matahira sn hasa maccm
CCM ni chama tawala kinatawala na vyama vyote vya siasa sababu serikali ya CCM ndio iliyosajili hivyo vyama na katiba zao

Hivyo kinawajibika kama chama tawala kuhakikisha vyama vyote ikiwemo Chadema wanazingatia katiba zao na kuendesha siasa za kistaarabu ndio maana sisi CCM tumo humu tukifuatilia kila hatua ya uchaguzi wa Chadema kwenye faulo tunapiga filimbi kama marefa kuwa hapo Lisu na team yake wamekosea

Na hatutatoka humu hadi uchaguzi uishe tarehe 21 na mshindi atangazwe
 
Tulia kaa chini utawala wa Sultan Freeman M7 Mugabe Mbowe. Umefika mwisho, Tundu Lisu ndio Mfalme mpya Na amebeba matumaini ya taifa so wajumbe wangu wa Maana tupige kura Kwa Lisu utawala wake uthibitike
 
Tulia kaa chini utawala wa Sultan Freeman M7 Mugabe Mbowe. Umefika mwisho, Tundu Lisu ndio Mfalme mpya Na amebeba matumaini ya taifa so wajumbe wangu wa Maana tupige kura Kwa Lisu utawala wake uthibitike
Katiba ya Chadema inasema hivyo? Kuwa mwenyekiti akitawala miaka hata 40 haruhusiwi kugombea tena?

Katiba ya Chadema haina ukomo wa uongozi acheni ujinga zingatieni katiba yenu

Mbowe hata angekuwa kawa mwenyekiti w Chadema kwa miaka 70 katiba ya Chadema inamruhusu kugombea tena

Zingatieni katiba tafadhali

Nyie wajinga sana katiba mnayo halafu mnaleta uswahili
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe usimhusishe Yesu na maoni yako
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
Kumpa mbowe chadema Tena ni kutaka kukimaliza kabisa chadema
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
You're too Naive.
 
CCM ni chama tawala kinatawala na vyama vyote vya siasa sababu serikali ya CCM ndio iliyosajili hivyo vyama na katiba zao

Hivyo kinawajibika kama chama tawala kuhakikisha vyama vyote ikiwemo Chadema wanazingatia katiba zao na kuendesha siasa za kistaarabu ndio maana sisi CCM tumo humu tukifuatilia kila hatua ya uchaguzi wa Chadema kwenye faulo tunapiga filimbi kama marefa kuwa hapo Lisu na team yake wamekosea

Na hatutatoka humu hadi uchaguzi uishe tarehe 21 na mshindi atangazwe
🤔 🤔 🤔
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
anayesafiri ubelgiji na anayelamba asali kwa mgongo wako yupo hatari? halafu kusafiri kwani mama yako hasafiri, mbona kala hela za watanzania karibia zote kwenye utalii ambao haujaingiza chochote kwenye kapu la nchi?
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
Andishi refu lakini pumba tupu.
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
CCM mnaumia sana na kutetemeka mnapoona majimbo karibu yote yako pamoja na Tundu Lissu.

Huyu NDIYE kiboko yenu, hamna maridhoano uchwara tena
 
Lissu mtu makini vijana wa ccm wamepata maangaiko kama yule muandishi wa clouds alipopata tabu kwenye interview , Lissu ndio kiboko ya ccm kwa siasa za sasa
 
Kwa muda.mrwfu sasa nimekuwa nikiwaeleza hapa.jukqaabinkuwa Lussu ni mgonjwa wa asili ana maradhi yanayoitwa usonji au "autism" kwa Kingereza. Hamnielewi mpaka sasa?

Mtu mwenye autism aliyonayo lussu huwa ni king'ang'anizi, haambiliki, hasikii mpaka alitakalo alipate au afe.

Hatowacha kumg'ang'ania mbowe na mama Samia hata iweje, labda afe yeye au wao.

Apate asipate uenyekiti, hatowacha kunsakama mbowe, halikadhalika mama samia.

Ubongo wa mwenye autism haujui kufuta vitu, wanakuwa ni watu wa ajabu sana na kila mmoja humjia kiaina yake.

Haya chadomo chaguweni mwehu.
 
Wajumbe wa CHADEMA tafadhilini tunataka mchague Mtanzania sio diaspora wiki yuko Tanzania miezi 6 yuko Ubelgiji kura apewe Mbowe

Mbowe muda wote yuko Tanzania madhila yote yake

Itendeeni haki nchi yenu na Chadema

Lisu ana tabia tu ya kuja kipindi cha chaguzi na hizo chaguzi lazima ziwe zinamhusu yeye kama mgombea iwe ndani ya chama au uchaguzi mkuu

Ndio maana hata uchaguzi wa serikali za mitaa hakujiandikisha akatimka Ubelgiji bila kujali kuwa Singida kwake kura yake muhimu na uhamasishaji muhimu

Hata alipogombea uraisi.uchaguzi ulipoisha tu mbio akatimkia ubelgiji

Hizi tabia anazo Pia Godbless Lema kuwa kama wao sio wagombea wanakuwa Canada na ubelgiji

Lema katoroka kwenda Canada hataki hata kupiga kura yake ndani ya CHADEMA kuchagua mwenyekiti wa kanda Akaona sababu yeye hagombei aende zake canada

Lisu na Lema wana ubinafsi mno

Wakiwa wagombea wenyewe ndio.hujitia wako karibu na wajumbe wapiga kura

Mpigeni chini Lisu kwa jina la Yesu

Tanzania inahitaji watanzania kwenye siasa sio diaspora wanaokuja ku beep na kuondoka
Kabisa
 
Back
Top Bottom