Umenikumbusha solo nilipoona hiyo movie nikataman namimi kuwa machine kama soloYule SOLO vipi??
Kweli mkuu..yule jamaa sijui yuko wapiUmenikumbusha solo nilipoona hiyo movie nikataman namimi kuwa machine kama solo
Uku Mwanza tulimwita MASANJA, alikuwa Hong Kong CinemaView attachment 517103
Njombe iringa na mbeya anatambulika kama MWIKOMBE dah noma sana
jimmy kelly.alikua anacheza na bruce lee1. Steve James
Huyu jamaa aliwakilisha vyema kwenye muvi nyingi za mapigano na vita. Mojawapo ni muvi ya American Ninja akiigiza na mastaa wengine kama David Bradley pamoja na Michael Dudikorf.
View attachment 516578
2. Billy Blanks
Huyu mchizi alikuwa tishio sana kwenye muvi za mapigano. Alikuwa anachapa mkono sio wa kitoto. Alikuwa maarufu sana kwa kupiga mateke ya nguvu yanayoweza kuua ng'ombe.
View attachment 516580
3. Wesley Snipes
Tulikuwa tunamfahamu kwa jina maarufu la "The Blade". Huyu bwana nae alikuwa poa sana kwenye suala zima la martial arts.
View attachment 516582
View attachment 516583
Bila kumsahau huyu jamaa mtata sana ambae kacheza muvi nyingi za kibabe pamoja na Donnie Yen. Huyu jamaa huwa haongei sana, yeye ni kichapo tu.
View attachment 516585
Ongezea vichwa vingine kama unavikumbuka watu tufanye flashback kidogo.
huyu wesly snpe co wa kawaidaaaaa1. Steve James
Huyu jamaa aliwakilisha vyema kwenye muvi nyingi za mapigano na vita. Mojawapo ni muvi ya American Ninja akiigiza na mastaa wengine kama David Bradley pamoja na Michael Dudikorf.
View attachment 516578
2. Billy Blanks
Huyu mchizi alikuwa tishio sana kwenye muvi za mapigano. Alikuwa anachapa mkono sio wa kitoto. Alikuwa maarufu sana kwa kupiga mateke ya nguvu yanayoweza kuua ng'ombe.
View attachment 516580
3. Wesley Snipes
Tulikuwa tunamfahamu kwa jina maarufu la "The Blade". Huyu bwana nae alikuwa poa sana kwenye suala zima la martial arts.
View attachment 516582
View attachment 516583
Bila kumsahau huyu jamaa mtata sana ambae kacheza muvi nyingi za kibabe pamoja na Donnie Yen. Huyu jamaa huwa haongei sana, yeye ni kichapo tu.
View attachment 516585
Ongezea vichwa vingine kama unavikumbuka watu tufanye flashback kidogo.
Mr TView attachment 517103
Njombe iringa na mbeya anatambulika kama MWIKOMBE dah noma sana
Yupo ..jamaa nowadays kakomaa na Ku directKweli mkuu..yule jamaa sijui yuko wapi