Habari za muda huu wakuu, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Katika pitapita zangu huwa naona vichaa, wengine wana mimba, wengine tayari wameshajifungua watoto wao.
Swali linakuja;
1 Kuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kumuingilia kichaa kimwili mpaka anapata hiyo mimba au ni vichaa wenzake?
2 Je na huyo kichaa anayeingiliwa anakubali mwenyewe au ndo kubakwa?
Msaada