Wahitimu wa vyuo vikuu wanapitia mateso makali sana kisaikolojia. Wazazi mkumbuke kuaanzisha family business, watunzieni mitaji ya kuwapa after chuo

MELEKAHE

JF-Expert Member
Nov 19, 2023
1,337
5,584
Tazama mwenyewe huyu dada graduate anavyoteseka

2007828326.jpg


huu ni Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha
mtoto afundishwe biashara na kuzalisha pesa kwa kujiajiri mapema.

Watoto wa zama hizi wajifunze high income skills mapema, hii itawasaidia sana

No need kuweka pesa nyingi kwenye formal education.

Tatizo la Ajira linaletwa na Wazazi wahuni.
Hujamrithisha mtoto Mali , familia haina family business na wala mtoto hapewi mtaji, sasa ataachaje kukosa Ajira?
 
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Tena hao wanaojiona wa digiliii ndio pasua kichwa hawafai kuona hata kwa bahati mbaya
 
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Approach zao za maisha ndio hufanya wanaume waone kama huyu anafaa kuolewa au hapana.

Wakiwa chuo huwa wana behave vibaya sana, sasa wakirudi kitaa na jamaa wakipata files zao inakuwa ni HIT & RUN.
 
Approach zao za maisha ndio hufanya wanaume waone kama huyu anafaa kuolewa au hapana.

Wakiwa chuo huwa wana behave vibaya sana, sasa wakirudi kitaa na jamaa wakipata files zao inakuwa ni HIT & RUN.
Sasa tuwasaidiaje wakiwa chuo wasiwe breki pumbuz?
Yaani imagine ten years no man wants to marry u. Assuming amemaliza chuo na 23 so means ana 33 no marriage. Aisee hii ni crisis
 
Sasa tuwasaidiaje wakiwa chuo wasiwe breki pumbuz?
Yaani imagine ten years no man wants to marry u. Assuming amemaliza chuo na 23 so means ana 33 no marriage. Aisee hii ni crisis
You do realize haiendi chuo kusaka mume, so point yako ni so irrelevant. Ishu hapa ni ajira kuwa ngumu dispite of elimu ipo

Wengi hawa wanakuwa raise, shuleni mpaka chuoni kwamba wakimaliza wataajiriwa, walimu, dkt, profan hawa waambii ukweli
 
Back
Top Bottom