Wahaya wana Akili sana kiukweli

Attachments

  • Screenshot_20240510-190417_Chrome.jpg
    Screenshot_20240510-190417_Chrome.jpg
    421.5 KB · Views: 3
Jifunze kupost picha kwanza hapa.
Then tuendelee kujadili.
Hebu angalia hio video vzr.
Ndo maana nimesema wew ni mbishi tu.
Sasa unapost wikipedia hapa.
Wahaya wenyew hawana time na wew. Wew ndo unaumia


View: https://youtu.be/Dv9HVHpkt9E?si=LSBy-xKa2t2jvxaz

Hauna point bro..wahaya utawala wenu ulishapita..mlikuwa mnajazana BOT elimu za kawaida sana sasaivi mko wapi?? Kama mna IQ mmegundua nn?? IQ haiangalii kabila acha kuongopea umma
 
Vyuma wamefua western africa before crist wewe unatuletea habari za wahaya..ungesema ni wauzaji maarufu wa K ningekuelewa
Hoja upingwa kwa hoja na evidence sio matusi. Matusi ni dalili ya kutokuwa na akili, kutostaarabika na ushamba pia

Mimi nimeleta video ikiongelea wahaya walivumbua vyuma miaka mingi iliyopita. Leta evidence kuwa wahaya hawakuvumbua vyuma sio kutoa matusi....man up bro
 
Hauna point bro..wahaya utawala wenu ulishapita..mlikuwa mnajazana BOT elimu za kawaida sana sasaivi mko wapi?? Kama mna IQ mmegundua nn?? IQ haiangalii kabila acha kuongopea umma
Leta evidence kupinga kuwa wahaya hawakuvumbua vyuma kama video hiyo inavyosema
Hayo mengine ni porojo tu na kuonyesha udhaifu wako mbele ya wahaya
 
Leta evidence kupinga kuwa wahaya hawakuvumbua vyuma kama video hiyo inavyosema
Hayo mengine ni porojo tu na kuonyesha udhaifu wako mbele ya wahaya
Nenda wikipedia huko ndio utaujua ukweli achana na video za youtube uongouongo mwingi
 
Mkoa wa Kilimanjaro kieneo ni sawa na Wilaya ya Uyui Tabora huwezi linganisha na Mkoa wenye mita za mraba zaidi ya elfu 40 na Kilimanjaro yenye mita za mraba elfu 13. Rudi darasani.
Unajua ulichokiandika kwanza hapo?, (unazijua mita za mraba/Square metres) jinga kweli, kwa kukusaidia tu hapo ulitakiwa uandike Square Kilometres mzee, ujue mikoa siyo mashamba au viwanja, af ww ndo wa kumuambia mtu arudi shule dah!,

Anyways, unajua ukubwa wa eneo la Dar es salaam!?, OK, embu niambie ukubwa wa eneo la Uyui umesaidiaje kuleta maendeleo pale Isikizya, Ilalwansimba, Magiri, Mambali, Pangale, Kigwa n.k.
 
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.

NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor, zina mchango wake.
Labda IQ ya kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu!
 
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.

NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor, zina mchango wake.
Hongera kwa kuliona Hilo watoto wa juzi hawayajui haya

Sisi tuliokuwepo enzi zile Rwizandekwe anamfundisha Nyerere kuandika hotuba tunajua
 
Back
Top Bottom