ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,739
- 106,537
Huyo wa kwanza huyo!!!PhD kama za Samia, Mwigulu, Jaffo, Biteko na Msukuma siyo?
Huyo wa kwanza huyo!!!PhD kama za Samia, Mwigulu, Jaffo, Biteko na Msukuma siyo?
Hata jiwe alijaza wasukima woteWanyaturu umewaonea tu lakini makabila matatu ambayo yalikuwa blacklisted kuingia Ikulu ni Wahaya,Wachaga na Wanyakyusa hao ndiyo wakabila sana,enzi za Mwaikambo pale NIC na Kasambala pale Tanesco walijaa wanyakyusa kariba 50%.
😁😁😁PhD kama za Samia, Mwigulu, Jaffo, Biteko na Msukuma siyo?
Na mwenyewe yule alikuwa anajificha kwenye Usukuma tu lakini ni mhutu ndiyo maana alikuwa katili sana.Hata jiwe alijaza wasukima wote
Mpuuzi kabisaImfikie kakurwa hii
Du! Inaonekana kuna kitu kibaya umewahi kufanyiwa na mmoja wao. Ila sioni kama ni busara kuwajumuisha.Kwenye wahaya mia ukikuta zaidi ya watatu wenye utu hiyo ni bahati kubwa sana.Hawa hawafai kuchunga hata Mbuzi.
Ni marafiki zangu ila naishi nao kwa tahadhari sana,akipata pesa au cheo ndio utajua hao ni nani,majigambo mengi na husahau utu mapema sana.KIKUBWA WANAONAGA WENZAO HAWANA AKILI WAO NDIO KILA KITU WANAVYOJIONA.Nenda Mwanza njoo useme wewe ni mhaya uone watakavyokuona wa ajabu.Du! Inaonekana kuna kitu kibaya umewahi kufanyiwa na mmoja wao. Ila sioni kama ni busara kuwajumuisha.
Mbona kama ni kujidai wapo wengi? Wachaga, wakurya, wabondei nao unawaweka wapi japo si wote?Ni mara
Ni marafiki zangu ila naishi nao kwa tahadhari sana,akipata pesa au cheo ndio utajua hao ni nani,majigambo mengi na husahau utu mapema sana.KIKUBWA WANAONAGA WENZAO HAWANA AKILI WAO NDIO KILA KITU WANAVYOJIONA.Nenda Mwanza njoo useme wewe ni mhaya uone watakavyokuona wa ajabu.
Bujumbura!Bashiru Mwanasiasa wa Ovyo sana Kupata Kutokea katika Medani za Siasa ya Nchi hii, Sijui kwanini mfumo ulimuacha mpaka afike Juu vile that was a big mistake,