Wahamisha Magoli na Suala la Kutangazwa Mapato!

Ungezungumzia suala la sukari vile magoli yavyohamishwa!!

Sukari ipo na viwanda vyetu vina uwezo wa kuzalisha sukari ya kutosha!!

Mara, kuna wafanyabiashara wanaficha sukari ..............!!

Mara, tumezuia sukari kuletwa toka nje kwa vile wafanyabiashara walikuwa wanakenda Brazil kutuletea sukari iliyokaribia kuexpire!!

Magufuli hawezi kushindwa kuleta sukari hata kama ni mabehewa elfu ngapi...!!

Nimeongea na Waziri Mkuu ................!!!

Hapa ndiyo kuhamisha magoli ............ siyo hayo unayoyasema hapo juu!!


Hivi ulisoma agizo la Ikulu kuhusiana na Sukari au ulisoma mstari mmoja na mwingine ukauruka?
 
If you found anything funny there, you are such a deeply deranged human being.
That is your ignorance pal.... you can keep it! At least I found a funny side of the situation... keep your sad ass strictly locked into your sad, deluded behind... I dont need it; nor your advice
 
wew mpiga filimbi wa mfalme matangazo ya tra ymekusaidia nini

Haya maswali ungewauliza waliokuwa wanataka TRA watangaze mapato ya mwezi wa nne.

Wewe unaanza kumlaumu aliyetakiwa atangaze mapato badala ya kuwalaumu waliotaka mapato yatangazwe.

Hii nchi kuna vituko!
 
Mapato yakishuka na ikawa sio siri tena, itakuwaje? Wahabomoa uwanja kabisa au magoli yatavunjwa? Ni suala la muda tu


Halafu kwani kuna guarantee mapato hayawezi kushuka; au yakishuka ndio wataanza kulia kabisa "kwanini yameshuka" na wengine watasema ni wachumi kabisa. Mapato yanaweza kupanda au kushuka kutokanaa na vitu (factors) mbalimbali.
 
Halafu kwani kuna guarantee mapato hayawezi kushuka; au yakishuka ndio wataanza kulia kabisa "kwanini yameshuka" na wengine watasema ni wachumi kabisa. Mapato yanaweza kupanda au kushuka kutokanaa na vitu (factors) mbalimbali.
Mkuu umekua Ritz kabisa

Ile critical analysis yako imepelea kabisa... I expected you to go a few extra yards na kutuambia sababu za kupanda na kushuka and what should be done ili mazingira wezeshi ya kuongezeka kwa makusanyo
 
Huyu Mzee Mwanakijiji wa siku hizi kaishiwa ile mbaya.

Yaani mzee wetu siku hizi amekuwa ni mtu wa mipasho mipasho tu na kuokoteza vijihoja vya ajabu ajabu vya hapa na pale ili mradi tusimsahau tu hapa jukwaani!

Unakula maharage ya wapi siku hizi mzee wetu!!??

Ki ukweli ukiamua kuwa mfuasi wa CCM, basi ni lazima tu ufahamu na akili zako zikae tenge. Huyu ndiye Mzee Mwanakijiji wa siku hizi mara baada na kabla kidogo ya uchaguzi mkuu wa 2015!!
 
Kwa mujibu wa Sura ya bajeti iliyowasilishwa na Waziri Mpango, serikali inatarajia kukusanya TZS Trilioni 15.1 kwa mwaka 2016/17. Kwa maana hii wastani wa kila mwezi utahitajika kuwa ni TZS 1.25 trilion kwa mwezi ili malengo husika yafikiwe. Ingawa mwaka mpya wa bajeti haujaanza, kwa kiwango hiki cha Trilioni moja kwa mwezi Aprili (juu kidogo tu ya kiwango alichoacha Kikwete cha TZS Bilioni 900 kwa mwezi) sio habari njema. Ndio maana ilbidi mfiche fiche.

So far bado ni past arrears coming through. Ni ngumu sana kufikia malengo husika chini ya serikali ambayo ipo busy destroying wealth.

Goli ni Wastani wa TZS 1.25 trilion kwa mwezi, nje ya hapo mmepiga nje ya Goli.

PS:
Msiishie kutangaza tu kilichokusanywa, elezeni wananchi, je kimetumiwaje? Tutasikia 50% or more imeenda kulipa madeni ya Serikali ya Kikwete, another big chunk imeenda kwenye posho na mishahara. Fedha za njugu ndio zimeenda kwenye miradi ya maendeleo.

CCM ni ile ile...
 
Mimi naona shida ipo kwenye matumizi huko tunanunua computer moja mia kwa 37 billion..iptl wanalipwa 60 billion kila mwezi bure tuu service charge maana haya makusanyo ya matangazo toka enzi za Mkapa lakini hadi leo sukari tuu shida na makusanyo ya matangazo kila mara..
 
That is your ignorance pal.... you can keep it! At least I found a funny side of the situation... keep your sad ass strictly locked into your sad, deluded behind... I dont need it; nor your advice
Iike a boomerang, right back in your a****.
 
Mapato yameshuka sana mwezi huu kutoka 1.3 hadi 1? yaani b300 tumeloose fedha hiyo ni nyingi sana.
 
Kubong'oa...Kibong'oto,...Kihorogota....Kinjekitile....Bi Kiroboto.... Kimbinyiko....Kila siku Msamiati mpya waingia Duniani...
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kadhaa sasa; tuliwaona wahamisha magoli wakitengeneza magoli yao mapema wiki iliyopita wakidai kuwa serikali sijui TRA wameamua kuficha mapato kwa sababu hayakuwa mazuri.

Magoli yao yaliandikwa kuwa ati TRA wameficha hesabu na wanaona aibu kutangaza mapato ya mwezi wa nne! Sasa leo mapato hayo yametangazwa kwa utaratibu ule ule na kuonesha kuwa mapato hayajashuka kama watengeneza magoli wetu walivyotaka...

Sasa wameanza kuhamisha - "oh nani anatangaza mapato!" ao "tunaweza vipi kuyaamini"...

Mwisho wa siku watang'oa magoi waondoke nayo uwanjani!
Hii ni mara ya mwisho kuchangia thread ya huyu mnafiki. Sitochangia, sitorudia. Hivi mtu anayenunua sindano, kiberiti, panadol, wembe kwa dola anahangaisha vichwa vyetu? Alikimbia shida zetu akaenda kubeba mabox eti leo anasema anakataa misaada ya wazungu aliyoamua si kuipokea tu bali kuifuata.

Angekuwa anaishi na sisi huku angechomwa moto kwa unafiki kama siyo uchawi. Mwisho wa kuchangia thread ya huyu mzee. Mungu nisaidie. Amin
 
Back
Top Bottom