Wafugaji kuku mtabadilika lini?

Nilivyokua form 2 (2010) bei ya jumla ya kuuzia kuku ilikua tsh.5000 hadi tsh.5500/= leo hii nipo chuo mwaka wa pili (2017) Seven years onwards bei ni ile ile tsh.5500/= while considering kwamba other factors kama bei za madawa, vyakula, usafiri, ufundi, mbao, hardware, maji na umeme zimekua zikiendelea kupanda juu. Mmekua dhaifu na mmekosa umoja wa ku control soko lenu wenyewe.

What is the point of being an entrepreneur if you still work for someone. Wafugaji mkiendelea na upofu na ulimbuken huu huu wa kupelekeshwa na wanunuzi mtaendelea kuishia kwenye mediocracy tu. Mmekuwa mkilalamika ufugaji wa kuku huzaa faida kidogo bila kusahau nyie wenyewe ndo wachawi wa kutokuendelea kwa biashara zenu.

AMKENI.....FUNGUKENI.....CHUKUENI HATUA..... TAKE A STAND MFUGAJI

Hivi hiyo bei ya 5500 ni wapi nami nikimbie upesi nikanunue!!??
 
Soko ndio linaloamua bei sidhani kama kuna mfugaji anataka kuuza kwa bei ndogo....kama bei iliyopo sokoni ni sh 5000 wewe ukikomaa na kuuza 9000 nani atanunua!

Mimi nauza tshs 10000,na wananunua watu wengi sana.sema kila MTU ana mtandao wake kibiashara
 
Mkuu soko si ni demand and supply...... Usiniambie over the year supply ya kuku ipo fixed...... Kila kukicha watu wanaongezeka particularly kwenye majiji kama dar, mwanza etc.....Pia ukisema soko kuna buyer and seller wao nao wana play a crucial role kwenye kupanda na kushuka kwa bei ya kuku....Kwa akili yote ya mfanyabiashara sio akili ya kifugaji bali akili ya kufanya biashara siku zote gharama za kuendesha biashara zikipanda ni lazma tu bei nayo itapanda.... Sasa tatizo ni kwamba wafugaj weng wanaile mentality ya kifugaji but sio mentality ya kifanya biashara......Pia ukisema soko ndo linaamua jiulize siku kama ya leo ukienda kununua kuku na ukienda kununua kuku siku moja kabla ya chrismas au pasaka bei itakua sawa..... Wakat mfugaj yeye leo anauza kuku kwa bei hyo hyo ya 5500 na siku za sikukuu atalazmika auze kwa bei hiyo hiyo wakat huyo anaenunua kwa mfugaji akienda sokon anapandsha bei kuliko kawaida kisa tu ni sikukuu......
Wakati walaji wanaongezeka wafugaji nao wanaongezeka.
 
Mkuu soko si ni demand and supply...... Usiniambie over the year supply ya kuku ipo fixed...... Kila kukicha watu wanaongezeka particularly kwenye majiji kama dar, mwanza etc.....Pia ukisema soko kuna buyer and seller wao nao wana play a crucial role kwenye kupanda na kushuka kwa bei ya kuku....Kwa akili yote ya mfanyabiashara sio akili ya kifugaji bali akili ya kufanya biashara siku zote gharama za kuendesha biashara zikipanda ni lazma tu bei nayo itapanda.... Sasa tatizo ni kwamba wafugaj weng wanaile mentality ya kifugaji but sio mentality ya kifanya biashara......Pia ukisema soko ndo linaamua jiulize siku kama ya leo ukienda kununua kuku na ukienda kununua kuku siku moja kabla ya chrismas au pasaka bei itakua sawa..... Wakat mfugaj yeye leo anauza kuku kwa bei hyo hyo ya 5500 na siku za sikukuu atalazmika auze kwa bei hiyo hiyo wakat huyo anaenunua kwa mfugaji akienda sokon anapandsha bei kuliko kawaida kisa tu ni sikukuu......
Wakati walaji wanaongezeka wafugaji nao wanaongezeka.
 
Mkuu soko si ni demand and supply...... Usiniambie over the year supply ya kuku ipo fixed...... Kila kukicha watu wanaongezeka particularly kwenye majiji kama dar, mwanza etc.....Pia ukisema soko kuna buyer and seller wao nao wana play a crucial role kwenye kupanda na kushuka kwa bei ya kuku....Kwa akili yote ya mfanyabiashara sio akili ya kifugaji bali akili ya kufanya biashara siku zote gharama za kuendesha biashara zikipanda ni lazma tu bei nayo itapanda.... Sasa tatizo ni kwamba wafugaj weng wanaile mentality ya kifugaji but sio mentality ya kifanya biashara......Pia ukisema soko ndo linaamua jiulize siku kama ya leo ukienda kununua kuku na ukienda kununua kuku siku moja kabla ya chrismas au pasaka bei itakua sawa..... Wakat mfugaj yeye leo anauza kuku kwa bei hyo hyo ya 5500 na siku za sikukuu atalazmika auze kwa bei hiyo hiyo wakat huyo anaenunua kwa mfugaji akienda sokon anapandsha bei kuliko kawaida kisa tu ni sikukuu......
Kinachosababisha bei ikae constant kwa mda mrefu ni ongezeko la usawa baina watumiaji na Idadi ya kuku kutoka kwa wafugaji. Huwezi kuuza bei zaidi ya soko linavyohitaji, hata hivyo kabla ya kuuza bidhaa kwa dalali ni vizuri ukafanya uchunguzi bidhaa yako inahitajika kwa kiasi gani sokoni. Tatizo la biashara kama hizi ni kwamba ni biashara rahisi kuifikiri ukiwa na kamtaji hali inayosababisha ongezeko la supply sokoni sasa hata kama Idadi ya watumiaji inaongezeka unakuta uwiano hautofautiani sana kwa hiyo bei inacheza pale pale. Mfano mzuri ni bei ya kuku wa kienyeji wakati wa sikukuu ipo juu sababu ya demand yake ukilinganisha na supply.
 
Back
Top Bottom