Mko 50 mifugo 1780 mnakufa njaa? Waafrika tuna tatizo la kuthamini na kuonea ubahili vitu ambavyo vinatakiwa kutuokoa wakati wa shida.
Ulitaka wamuuzie nani kule porini? Wamekuambia walikuwa wakila nyama za ng'ombe wao lakini wakakosa maji, unawalaumu kwa lilpi? Tumia akili basi.