Wafanyabiashara wa maduka Arusha kiama chaja watakiwa kuondoka

Uzi una shida gani huu mkuu?
Bavicha huwa hawaji kwenye nyuzi ambazo chadema wanafukuza watu au wanapandisha kodi,kwao wao ni sahihi kabisa,hawaingii hata kupongeza wakati mwingine.subiri uone uzi halmashauri fulani inayotawaliwa na ccm,imefukuza wapangaji,hapo matusi yote yatatukanwa,viongozi wote mpaka waliostaafu watakula matusi
 
Jaribu kutafuta historia ya hayo maduka maana Manispaa haikuwahi kujenga maduka; hao unaowahita madali ndio waliojenga hayo maduka ama kuyanunua kwa waliyoyajenga. They are beneficial owners
B
Hii ndio hoja ya msingi inayohitaji busara na utashi wa kutenda haki bila uonevu kwani halmashauri nyingi zina tabia ya kugawa viwanja vikiwa vitupu kwa ajili ya kuendeleza trade centers na sio majengo yenye premises jukumu la mfanyabiashara linakuwa kujenga jengo,miundombinu na kuendeleza premises nk sasa baada ya mfanyabiashara ku incur costs and risks hizi zote hali ikiwa nzuri utaona tayari madiwani wanaanza kukodoa macho na wengine wanaforce hata namna ya kubadilisha mikataba.
 
Halmashauri ya jiji la Arusha imewataka wafanyabiashara wanayomiliki maduka ya halmashauri hiyo kuanza kufungasha mapema na pindi ifikapo machi 30 mwaka huu wawe wameyaachia ili kupisha wenye fedha kuweza kulipa vizuri wapewe..

Ni baada ya halmashauri hiyo kubaini janja ya madalali kumiliki kiasi kikubwa cha maduka na kuyapangisha kwa wafanyabiasha kwa gharama kubwa huku madalali hao wakilipa kiasi kidogo manispaa hiyo.

Mfanyabiashara Morice Makoi anatajwa kumiliki maduka 27 baada ya kukusanya shilingi laki tano hadi nane kwa duka moja kwa mwezi huku yeye akilipa manispaa sh, milion 50 tu kwa mwezi, jambo ambalo halmashauri hiyo chini ya meya Kalist Lazaro umesema itahakiisha inakonesha mara moja na kuwakabidhi wafanyabiashara wengine kwa mfumo wa tenda mwenye kisu kikali ndio mwenye kula nyama.

426db9b29302adfa2c1d142032d5cac9.jpg



Umekurupuka, rudia kusoma uzi wako ufanye masahihisho ndio urudi upya!
 
Back
Top Bottom