Wafanyabiashara Kariakoo: Jengo lililoanguka Kariakoo halikubeba tani 850. Hii inamaanisha Rais alipewa taarifa zisizo sahihi?

Kwani hiyo tofauti ya uzito inabadili nini ikiwa jengo limeanguka na kuleta madhara makubwa.

Diversionary Tactics Propaganda.

They have mallice, so they want to shift the burden of negligence to the Tenants of that collapsed building.

Kumbuka: Wahusika Wakuu waliosababisha hiyo ajali na maafa baadhi yao hawajawahi kuwajibishwa Wala hawajafunguliwa Mashitaka ya Jinai Mahakamani, kwa hiyo huo ni Mpango mahsusi wa kutaka kuwanusuru Wahalifu hao ukizingatia kuwa Jinai Haifi Wala haiozi.
Wahusika hao ni:-
1. Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa ya Ilala.
2. Wana Kamati wote waliohusika kwenye Mchakato wa Kutoa Kibali Cha Ujenzi wa Jengo hilo, sambamba na Wahandisi/ Wataalamu wa Ujenzi waliohusika kwenye Ukaguzi wa Jengo wakati wa Ujenzi.
 
Sasa wewe hata tukikadiria utastuka kweli?mda huo unawaza kupaka makeup
 
Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo wamehoji juu ya usahihi wa takwimu alizopewa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kuwa jengo la ghorofa lililoanguka Kariakoo Novemba 16, 2024 lilikuwa limebeba mizigo ya tani 850.

Akizungumza leo Februari 04, 2025 katika uzinduzi wa Balozi Jengo, Fredrick Lutindi ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo amesema “wakati Mheshimwa Rais anaongea kuna takwimu alizitaja mimi na wafanyabiashara wengi tulishtuka kidogo kwamba jengo lile lililodondoka lilikuwa limebeba tani 850 sasa tani mia nane kwa kawaida Kariakoo hatuna jengo lenye uwezo wa kubeba tani hizo”

Wafanyabiashara hao wamemuomba Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kusaidia kufuatilia ili Rais apewe taarifa zilizo sahihi hasa hizo za kiwango cha mizigo kilichobebwa kwenye jengo lililoanguka.

View attachment 3225041
Ukiondoa Magufuli, viongozi wa CCM ni watu wa mihemko.....hawanaga takwimu sahihi ama kutoa habari sahihi kwani wengi wao wapo tu madarakani kwa jailli ya upigaji na ndiyo maana wanaroga sana.
 
Mimi pia mfanyabiashara nimewahi weka container 8 nusu floor, ghorofa 3 yenye basement inaingia zaidi ya container 40 hasa kwa viwanja vya kkoo ambavyo ni vikubwa
1. Sijajua uliposema hasa kwa viwanja vya kkoo ambavyo ni vikubwa umelinganisha na viwanja vya wapi. Maana viwanja vya kkoo vinarange kati ya sqm 250 mpaka 350sqm.

2. Payload capacity ya container ya futi 40 baada ya kutoa uzito wa container lenyewe ni takriban tani 27. kwa tani 850 hapo tunazungumzia takriban container 32 za futi 40. Je zinaweza kuingia kwenye hilo jengo au lah, hilo siwezi jua kwa sababu sijui ukubwa wa jengo ulikuwaje.

3. Hata kama hizo container 40 zimeweza kuingia kwenye hilo jengo, bado kuna swali linafuata. Hayo macontainer yalikuwa na bidhaa gani? Maana aliyepakia viatu, aliyepakia mipira, aliyepakia vipuri na aliyepakia mchanga kila mmoja kwenye container la futi 40 uzito wao hautokuwa sawa kutokana na spacing ya bidhaa ndani ya container.

4. Bidhaa zinazouzwa kwenye lile jengo zinajulikana nyingi zikiwa ni viatu na nguo sio vitu vizito kama vile spare. Ili kufikia uzito wa tani 850 hapa hatutozungumzia tena container 32. Zinaweza fika hata 50. tuchukulie kila floor amekodi mtu mmoja. ina maana kila mtu atakuwa amehifadhi container takriban 16 za futi 40. Kwa wafanyabiashara wengi kuagiza container 16 kwa muda mmoja ni wachache sana tena kwa mbinde. Wengi utaskia wameagiza container 5 na labda 5 nyingine zipo njiani.


jengo lile lililodondoka lilikuwa limebeba tani 850 sasa tani mia nane kwa kawaida Kariakoo hatuna jengo lenye uwezo wa kubeba tani hizo
Na huyu naye pia kadanganya. Kariakoo kuna majengo mengi ya ghorofa 10 na yote ni magodown matupu. Je yanaweza kuhimili uzito wa mizigo yote hiyo?

Hapo sasa swali litarudi kwa wahandisi wa serikali waliotoa vibali vya ramani za ujenzi. Kama ujenzi ulifuata utaratibu mfano kwa maghala ya kuhifadhia vitu vizito ni 125 psf, reinforcement imekidhi viwango basi hamna tatizo.

Ama sasa kama ramani ilipitishwa kwa kwa matumizi ya makazi ambayo 40psf mpaka 50 zinatosha, halafu baadae watu wakajichukulia maamuzi ya kubadilisha matumizi na kugeuza store, Hicho sasa ni kimbembe kingine.
 
Kuuliza sio ujinga....hao wafanyabiashara ilibidi waulize tani 850 zimepatikana vipi.

Yeye anapigia hesabu mzigo wa wafanyabiashara tu, anasahau kuna matofali, kuna cement, kuna mchanga, kokoto na nondo.....vyote hivyo ni mzigo kwenye jengo.
 
Kukaa kimya sio solution, tani hata 2000 zinaweza kuingizwa kwenye hilo jengo...inategemea na uzito wa mizigo sio ujazo.
Uko sahihi
Mfano mdogo injini ya gari ndogo sana lakini uzito wake ni balaa

Angesoma kwanza riporti ya kitaalamunkujua walivyofika hizo hesabu

Mfano nondo zilizobeba hilo ghorofa zilikuwa uwezo mdogo kubeba mzigo wa nzege hilo.la ghorofa juu ukijumlisha na mizigo ya biashara ndivyo kwa pamoja vinaleta hiyo hesabu ya tani 850

Huyo kiongozi wa wafanyabiashara bwege tu
 
Wewe kaa kimya nyie ndo vichwa maji mnapokea kila ujinga unaotolewa!
Jengo lina floor tatu libebe tani 850 hivi uko na akili kweli au umejaza usaha kichwani huko!
Unaelewa kitaalamu maana ya jengo tani kubeba tani kadhaa? Tuanzie hapo mjinga wewe
 
Container la futi 40 linaweza kubeba hadi Tani 26. Hiyo mizigo ya tani 850 yataingia kwenye containers 32.
Uzito wa jengo ni pamoja na floor zake ukijumlisha na hiyo mizigo sio mizigo tu

Hata mizigo isingekuwemo kabisa ungeambiwa uzito wa jengo uliobebwa ni kiasi gani na nguzo

Hizo riportii ni za kitaalamu sio za uswahilini ndio maana watu wanaenda shule kusomea siyo layman reports hizo
 
Yani umejiunga JF kitambo sana nikiwa mdogo, ila bado huna uwezo wa kukadiria mzigo wa tani 2000 unaweza fit wapi.

Lile jengo chakavu nilifika halina hata uwezo wa kubeba tani 850, hata majengo mapya yanayojengwa mitaa ya Masasi bado hayawezi jaza tani 1000 sembuse elfu mbili.
Kwani uzani wa jengo lenyewe hauhesabiwi kwenye uzito wa jumla?
 
boss kontena moja ni zaidi ya tani 20, njoo kkoo usiku uone watu wanavyoshusha kontena, kuclaim hakuna mchina mwenye tani 10 ni kusema kkoo hakuna mchina anayeleta kontena ambayo ni hoja ya kipuuzi sana.

achana na tani 10, kuna wachina wana hadi tani 100 kwenye store za frame tu, juzi kati kuna mchina wamemuibia mzigo wa 60m kwenye store ya duka ambao ni zaidi ya kontena (tani 20) na hajajua hapo hapo hadi alipokuja kupiga hesabu.
Sio kweli niambie eneo gani wewe. Acha uongo. Conteiner gan lina tan 20 linashuka kkoo. Lina mzigo gan. Ni ft fit ao twenty fit.
 
Mimi pia mfanyabiashara nimewahi weka container 8 nusu floor, ghorofa 3 yenye basement inaingia zaidi ya container 40 hasa kwa viwanja vya kkoo ambavyo ni vikubwa.
Acha kudanganya wewe hauna uwezo huo hakuna mfanyabiashara mwenye akili mgando kama zako
 
Diversionary Tactics Propaganda.

They have mallice, so they want to shift the burden of negligence to the Tenants of that collapsed building.

Kumbuka: Wahusika Wakuu waliosababisha hiyo ajali na maafa baadhi yao hawajawahi kuwajibishwa Wala hawajafunguliwa Mashitaka ya Jinai Mahakamani, kwa hiyo huo ni Mpango mahsusi wa kutaka kuwanusuru Wahalifu hao ukizingatia kuwa Jinai Haifi Wala haiozi.
Wahusika hao ni:-
1. Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa ya Ilala.
2. Wana Kamati wote waliohusika kwenye Mchakato wa Kutoa Kibali Cha Ujenzi wa Jengo hilo, sambamba na Wahandisi/ Wataalamu wa Ujenzi waliohusika kwenye Ukaguzi wa Jengo wakati wa Ujenzi.
Nadhani ni kibali cha ukarabati kwani hilo jengo ni la zamani. Kama kulikuwa na kibali
 
Kukaa kimya sio solution, tani hata 2000 zinaweza kuingizwa kwenye hilo jengo...inategemea na uzito wa mizigo sio ujazo.

Kiongozi
Wanaongelea Nguo ambazo zinajulikana uzito/ujazo wake....sio Mchanga au mawe
Wazoefu wanasema Container la nguo lililojazwa vizuri kwa kukandamizwa likitoka Nje ya nchi linakuwa na wastani wa tani 28.

Wanachodai ni kuwa, hapakuwa na nafasi ya kutosha kuweka macontainer 30+ ya nguo kwenye lile jengo na nafasi ibaki ya kuweza kufanya Biashara (na ujue nguo zikitolewa kwenye Container zinachukua nafasi zaidi) na ndio sababu wanaona kuna kitu hakipo sawa.....
 
Wewe kaa kimya nyie ndo vichwa maji mnapokea kila ujinga unaotolewa!
Jengo lina floor tatu libebe tani 850 hivi uko na akili kweli au umejaza usaha kichwani huko!
Hata we unatakiwa utumie akili kufikiri. Tani 850 za shaba ni sawa na tani 850 za pamba kwa ukubwa?
 
Back
Top Bottom