Wafahamu Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania, Tunaanza na Ramadhan Omari Mapuri

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
129,725
249,565
Screenshot_2025-04-12-22-42-06-1.png


Mzee Ramadhan Omari Mapuri amehudumu kama kiongozi Mwandamizi kwenye serikali na kwenye Chama cha Mapinduzi, Mapuri ni mwanaccm Mtiifu mwenye kadi hai ya uanachama.(Namba yake kadi tutaiweka hapa)

Huyu ni Mjumbe wa kinachoitwa Tume Huru ya Uchaguzi na ni Mzanzibar.wa Kuzaliwa.

Wasifu wake kwa ufupi huu hapa, Wasifu wake mwingine utaongezwa kwa kadri ya tutakavyopata Taarifa, hatutampunja.

Screenshot_2025-04-12-22-42-16-1-1.png


Toa maoni yako.

Muhimu: Tutaendelea kuleta Wasifu wa Wajumbe wote wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania ili kila mtu awajue, hii ni kwa sababu Si kosa kisheria kuwafahamu Watumishi wa Umma, na hasa kwenye masuala ya uaminifu na uadilifu.
 
Hiki kinachodaiwa na CHADEMA sio takwa lao peke yao, ni takwa la kila mtanzania mwenye akili sawasawa.

Ifike wakati kila mtanzania awe na uhakika kwamba kura yake anayoenda kuipangia mstari kwenye jua kali inahesabika na inaheshimika.

Watawala na wanasiasa hawawezi hata siku moja kuwaheshimu wananchi kama wana uhakika maamuzi yao katika sanduku la kura hayana madhara katika vyeo vyao.

Nawaunga mkono CHADEMA, huwezi kuendelea kushiriki chaguzi ambazo kila baada ya uchaguzi una kazi ya kulalamika.

Ndani ya mtungi kuna nyoka, kila ukiingiza mkono nyoka anakugonga, ukiendelea kuingiza mkono wewe si utakuwa kichaa?
 
Hiki kinachodaiwa na CHADEMA sio takwa lao peke yao, ni takwa la kila mtanzania mwenye akili sawasawa.

Ifike wakati kila mtanzania awe na uhakika kwamba kura yake anayoenda kuipangia mstari kwenye jua kali inahesabika na inaheshimika.

Watawala na wanasiasa hawawezi hata siku moja kuwaheshimu wananchi kama wana uhakika maamuzi yao katika sanduku la kura hayana madhara katika vyeo vyao.

Nawaunga mkono CHADEMA, huwezi kuendelea kushiriki chaguzi ambazo kila baada ya uchaguzi una kazi ya kulalamika.

Ndani ya mtungi kuna nyoka, kila ukiingiza mkono nyoka anakugonga, ukiendelea kuingiza mkono wewe si utakuwa kichaa?
🤣 hakika utakuwa kichaa

Akili kisodq wanaona Chadema Kapoteza
 
View attachment 3302178

Mzee Ramadhan Omari Mapuri amehudumu kama kiongozi Mwandamizi kwenye serikali na kwenye Chama cha Mapinduzi, Mapuri ni mwanaccm Mtiifu mwenye kadi hai ya uanachama.(Namba yake kadi tutaiweka hapa)

Huyu ni Mjumbe wa kinachoitwa Tume Huru ya Uchaguzi na ni Mzanzibar.wa Kuzaliwa.

Wasifu wake kwa ufupi huu hapa, Wasifu wake mwingine utaongezwa kwa kadri ya tutakavyopata Taarifa, hatutampunja.

View attachment 3302176

Toa maoni yako.

Muhimu: Tutaendelea kuleta Wasifu wa Wajumbe wote wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania ili kila mtu awajue, hii ni kwa sababu Si kosa kisheria kuwafahamu Watumishi wa Umma, na hasa kwenye masuala ya uaminifu na uadilifu.
Kila ukweli uwekwe peupe
 
Back
Top Bottom