Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,373
Si unamwambia hutaki tu? Tatizo liko wapi?
kwani wewe ulitakaje.... omba wewe basiHeshima kwenu wadau,
Nikamtazamo tu wakuu,
Eti nyie wadada wa siku izi mkoje! Yaani unatongozwa asubuhi inafika mchana alafu hata jibu lenyewe hujatoa unaanza eti " nikwambie kitu.. sijui utanisaidia? Mwenzio nina shida ya 20000''. Ebo mnaboa sana, hivi mnakuwa mnawatega watu au ndo mtindo mpya wa kusajiliwa?