Wadada mkiitwa kwenye mitoko muwe mnabeba hela ya ziada

Huyo dada nae kiazi....

Utaagizaje ilhali huna kitu????

Hata kama kakwamvia kula chochote nae kaagiza kama mbuzi
 
Haa haa haa alijua n kushuka tu kitonga hakujua km atapanda atatokea huo huo mlango alioingilia
 
Kuna mambo yanafurahisha hadi huruma.

Nimekaa na mdada hapa anahaha sio kidogo, kapigiwa simu na Bwana wake wakutane hapa sasa kawahi kufika bwana bado ndo kumwambia ale anywe chochote atakacho asihofu anakuja amsubiri atalipa.

Mdada kafanya kama alivyoambiwa tangu saa 6 hadi sasa hivi saa9 jamaa hajatokea na simu haipatikani, anahaha tumbo joto na mfukoni hana hata mia ya akiba, anahangaika kuwaomba ndugu na jamaa wamtumie hela.

Nyie wadada punguzeni kupenda kitonga, kama unaenda sehemu beba akiba lolote likikupata unalitatua, ngoja nione mwisho wake utakuwaje hapa.

Sikukuu Njema wapendwa wangu.
Na uwakumbushe kuwa wakiitwa kwenye mitoko wasije na msululu wa marafiki
 
Acha kutudharirisha. Wanawake tunafanya kazi na kuna maisha bira mwanaume. Mfyuuu
Jiwe gizani ukisikia yalaaah limempata mtu, Mimi mwenyewe mfanyakazi na sitegemei mtu ila umesikia nakohoa??? Wacha kupenda kitonga kenge maji wewe
 
These are the ways to tell if you are dating a woman or a girl.

A woman gets there on time, orders her glass of wine and enjoys her own company.

If the keeps you waiting pay the bill and leave.

No hard feelings. No desperation.

I
 
Jiwe gizani ukisikia yalaaah limempata mtu, Mimi mwenyewe mfanyakazi na sitegemei mtu ila umesikia nakohoa??? Wacha kupenda kitonga kenge maji wewe
Yalaaah itoke wapi mtu pochi ina laki 3 ya matumizi. Mwanaume akizengua nalipa bill then namwachia laki kaunta na kusepa! akija anywe akiri ya chini ikichemka atembeee na dada poa au ashushe suruali wanaume wa shoka wamuoeeeee.....asubuhi akimka ...
 
wanaume ni wangese tu .ndo maana wanapumuliwa choka mbaya kiboko yao magufuli .mfyuuu walale huko wasituchoshe wanaume wa dar natamani sana nipewe ruhusa mnaboa hela kitu gani kama huna si useme tu .ndo maana tumegoma kutombwa mnabaki kufumuana marinda .kumdhalilisha dada wa watu nini? unashindwa hela ya bia ya siku moja utaweka kumtunza mtu mwaka? kwendeni huko nalipa bill zangu ole wa mtu anitongoze nitampiga matango
 
wanaume ni wangese tu .ndo maana wanapumuliwa choka mbaya kiboko yao magufuli .mfyuuu walale huko wasituchoshe wanaume wa dar natamani sana nipewe ruhusa mnaboa hela kitu gani kama huna si useme tu .ndo maana tumegoma kutombwa mnabaki kufumuana marinda .kumdhalilisha dada wa watu nini? unashindwa hela ya bia ya siku moja utaweka kumtunza mtu mwaka? kwendeni huko nalipa bill zangu ole wa mtu anitongoze nitampiga matango
WTF?!!

Duh!
 
Kuna mambo yanafurahisha hadi huruma.

Nimekaa na mdada hapa anahaha sio kidogo, kapigiwa simu na Bwana wake wakutane hapa sasa kawahi kufika bwana bado ndo kumwambia ale anywe chochote atakacho asihofu anakuja amsubiri atalipa.

Mdada kafanya kama alivyoambiwa tangu saa 6 hadi sasa hivi saa9 jamaa hajatokea na simu haipatikani, anahaha tumbo joto na mfukoni hana hata mia ya akiba, anahangaika kuwaomba ndugu na jamaa wamtumie hela.

Nyie wadada punguzeni kupenda kitonga, kama unaenda sehemu beba akiba lolote likikupata unalitatua, ngoja nione mwisho wake utakuwaje hapa.

Sikukuu Njema wapendwa wangu.
Yaani katika mtihani mmojawapo niliofaulu vzr nahic ni huu,,Yaani siwezi toka bila hela ya akiba hata kama naenda kukutana na shangazi,na kama sina pesa kidate kinakuwa cancelled.
 
Yalaaah itoke wapi mtu pochi ina laki 3 ya matumizi. Mwanaume akizengua nalipa bill then namwachia laki kaunta na kusepa! akija anywe akiri ya chini ikichemka atembeee na dada poa au ashushe suruali wanaume wa shoka wamuoeeeee.....asubuhi akimka ...
Wenye hizo lakitatu kwenye pochi hawapigi kelele, mama punguza kujikweza na hufahamiki hapa kusema utapata point.
 
Watakusikiliza tu, nami inanishangaza sana.

Huyo lazima alilazimisha mtoko, au anatamaa ya kuomba omba ndio kapigwa kwaheri leo.

tabu ni bado atamsaka mwanaume huyo, kama vile hakuna wengine
 
Wanaume hovyo tu, mtu mwenyewe ata hela ya outing huna, za kulipia chumba utazitoa wapi? Mfyuuu....pumbavu zako wewe mtoto wa kiume na kibamia chako! Hata ukipewa k. walahi huwezi.
 
Back
Top Bottom