Usiku anateka mabasi huko njia za tanga na moro Bagamoyo nkJambazi Bashite atavamia wapi tena?
Usiku anateka mabasi huko njia za tanga na moro Bagamoyo nkJambazi Bashite atavamia wapi tena?
Kule akienda anapigwa risasi ya mguu kisha zingine baadaevenNext ni Ufipa
Yaani ninavyokuchukia!!! Basi tuu ila punguza mihemkoAjali nyingi hutokea nchini na kuua watu, hata watu kuuwawa na majambazi kwa bunduki.
Sijawahi kusikia wabunge wakiongozana kwenda kutoa pole kwa wananchi. Hata shida nyingine haswaaaaa mmmmh
Nape kaamua haswa, bonge la chance watimize ila wameulwa ha ha haaaaa
Hii inaonyesha kuwa wanaguswa haswa ya maslahi yao ambayo yanayovunja sheria.
JPM oyeeeeee
Makonda oyeeeeeeee
Hv wewe sio kale ka swala kanako cheza mbele ya simba kwa malingoAjali nyingi hutokea nchini na kuua watu, hata watu kuuwawa na majambazi kwa bunduki.
Sijawahi kusikia wabunge wakiongozana kwenda kutoa pole kwa wananchi. Hata shida nyingine haswaaaaa mmmmh
Nape kaamua haswa, bonge la chance watimize ila wameulwa ha ha haaaaa
Hii inaonyesha kuwa wanaguswa haswa ya maslahi yao ambayo yanayovunja sheria.
JPM oyeeeeee
Makonda oyeeeeeeee
Safari hii wabunge wamejifunza kitu lakini nina imani wabunge ni watachukua hatua kwa mbinu za kisayansi zaidi baada ya kugundua kuwa kamati ya ufundi ya makonda imekuwa na ujanja mwingi zaidihawana ubavu wa kupingana na Makonda.........Makonda ni Zaidi ya wabunge na mawaziri
Hilo jambo limekuwa exaggerated na limechukuliwa kisiasa kiufupi overrated sana
Aah kutoa pole eti kana kwamba jambo zito limefanyika wakati hakuna uharibifu uliofanyika wala hasara iliyotokea
Sitetei alichofanya makonda lakini hawa wanaodai wanaenda kutoa pole wana lao ,..clouds wanatumika tu ,
Awamu ya matukio na comedy hii
Lengo nikuwapa pole clouds media kutokana na tukio lililowakuta LA kuvamiwa.
Wabunge hao ni
1:Hussein Bashe
2:Msukuma
3:Mlinga
4:Mpina
5:Ridhiwani
Wengine Wa 5 ni mawaziri lengo ni kuwapa pole clouds media kwa uvamizi huo.
Hilo jambo limekuwa exaggerated na limechukuliwa kisiasa kiufupi overrated sana
Aah kutoa pole eti kana kwamba jambo zito limefanyika wakati hakuna uharibifu uliofanyika wala hasara iliyotokea
Sitetei alichofanya makonda lakini hawa wanaodai wanaenda kutoa pole wana lao ,..clouds wanatumika tu ,
Awamu ya matukio na comedy hii
Kwa mujibu wa Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm aliyenyakua 100% ya kura , huo ni usaliti wa kiwango cha kutisha .Lengo nikuwapa pole clouds media kutokana na tukio lililowakuta LA kuvamiwa.
Wabunge hao ni
1:Hussein Bashe
2:Msukuma
3:Mlinga
4:Mpina
5:Ridhiwani
Wengine Wa 5 ni mawaziri lengo ni kuwapa pole clouds media kwa uvamizi huo.
Ajali nyingi hutokea nchini na kuua watu, hata watu kuuwawa na majambazi kwa bunduki.
Sijawahi kusikia wabunge wakiongozana kwenda kutoa pole kwa wananchi. Hata shida nyingine haswaaaaa mmmmh
Nape kaamua haswa, bonge la chance watimize ila wameulwa ha ha haaaaa
Hii inaonyesha kuwa wanaguswa haswa ya maslahi yao ambayo yanayovunja sheria.
JPM oyeeeeee
Makonda oyeeeeeeee
ushauri wako unahusika mkuu....Hilo jambo limekuwa exaggerated na limechukuliwa kisiasa kiufupi overrated sana
Aah kutoa pole eti kana kwamba jambo zito limefanyika wakati hakuna uharibifu uliofanyika wala hasara iliyotokea
Sitetei alichofanya makonda lakini hawa wanaodai wanaenda kutoa pole wana lao ,..clouds wanatumika tu ,
Awamu ya matukio na comedy hii
pale makao makuu ya CHADEMA nasikia kuna kiwanda cha kuzalisha uongo....tutakivamia kijeshiCCM sasa wanaona hali imekuwa mbaya wanaanza kuhangaika.
Jamaa anawaponza.