Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,563
- 15,267
Jana kuna sehemu nimeenda, nikakuta ndala zile kandambili za 2000 zinauzwa 5000, kuuliza haipungui nkaambiwa haipungui alafu muuzaji akaendelea kujisnap.
Kuna maduka ukienda, bidhaa ambayo kariakoo kwa mchina unaipata labda kwa 5000 huko unaikuta 10,000 haswa maduka ya sinza.
Unaenda lodge, chumba 50k hakina maji moto, tv inaonyesha azam 2, vitanda vinatingishika ukiomba punguzo bado mtu anakaza.
Unaenda mgahawani, wali na nyama 2 unauziwa buku 5000. Haitoshi ugali dagaa unauziwa 3000 😳
Hii imeenda mbali zaidi saivi gb 1 unaipata kwa 2100 na huna cha kufanya.
Huu ujio wa wachina unaweza tusaidia kidogo maana kila kitu saivi kinapanda bei kiholela tu si kodi, si mpunga, si utelezi n.k
Tupe nawewe ushuhuda wako wa namna wabongo wanavyopandisha vitu bei kiholela mpaka unaona kabisa hapa napigwaa!
Kuna maduka ukienda, bidhaa ambayo kariakoo kwa mchina unaipata labda kwa 5000 huko unaikuta 10,000 haswa maduka ya sinza.
Unaenda lodge, chumba 50k hakina maji moto, tv inaonyesha azam 2, vitanda vinatingishika ukiomba punguzo bado mtu anakaza.
Unaenda mgahawani, wali na nyama 2 unauziwa buku 5000. Haitoshi ugali dagaa unauziwa 3000 😳
Hii imeenda mbali zaidi saivi gb 1 unaipata kwa 2100 na huna cha kufanya.
Huu ujio wa wachina unaweza tusaidia kidogo maana kila kitu saivi kinapanda bei kiholela tu si kodi, si mpunga, si utelezi n.k
Tupe nawewe ushuhuda wako wa namna wabongo wanavyopandisha vitu bei kiholela mpaka unaona kabisa hapa napigwaa!