Vyombo vya habari vya Tanzania na agenda za kuadimika kwa 'utumbo wa kitabu' nchini

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
997
4,652
It's fine tumeamua kuachana na mijadala inayohusu mstakabali wa maisha yetu tumajikiti kwenye starehe. Vyombo vya habari vimeacha kufanya utafiti na kuja na mada zakuisaidia serikali kufanya maboresho tumeamua kuwa wana michezo.

Tumeamua kuacha kabisa matumizi mabaya ya muda kwenye house media tumeamua kuwa na vyombo vya habari vinavyojadili KUADIMIKA KWA UTUMBO WA KITABU NCHINI.

Ni kweli tumeamua kutojadili mambo serious tumehamia kwenye drama; basi sawa wachina wanakula sana utumbo wa kitabu tuchangamkie fursa tuuze utumbo kwa dola.
 
Vyombo vya habari nchi hii vimesha shikwa, they no longer serve public interest, they serve politcian interest.

Wako busy na umbea na mambo ya hovyo, media tanzania zime fail.
 
Inasikitisha sana mkuu, What's next, labda watajadili kuadimika kwa miguu ya kuku.
 
Media sahvi zinawaita wale wadada wenye makalio makubwa na wanawafaNyia mahojiano

Ova
 
Hakuna kitu nachukua kama media za Tanzania.

Mfano. Tukio la kuondolewa bungeni Mh. Mpina, Pale nilitegemea waandishi wamzonge zonge Mh. Tulia mpaka kichwa kimuume lkn wako hoi.

Mpaka mpina analazimika kuita press mwenyewe lkn bado zile media kubwa hazifanyi live coverage ya event. Pathetic.
 
Watanzania kulalamika kama watoto wa kambo, mmetaka uhuru wa vyombo vya habari, halafu mnataka tena mviingilie uhuru wake. Uhuru wa vyombo hivyo ni pamoja na kuchagua mada wanazotaka
 
It's fine tumeamua kuachana na mijadala inayohusu mstakabali wa maisha yetu tumajikiti kwenye starehe. Vyombo vya habari vimeacha kufanya utafiti na kuja na mada zakuisaidia serikali kufanya maboresho tumeamua kuwa wana michezo.

Tumeamua kuacha kabisa matumizi mabaya ya muda kwenye house media tumeamua kuwa na vyombo vya habari vinavyojadili KUADIMIKA KWA UTUMBO WA KITABU NCHINI.

Ni kweli tumeamua kutojadili mambo serious tumehamia kwenye drama; basi sawa wachina wanakula sana utumbo wa kitabu tuchangamkie fursa tuuze utumbo kwa dola.
JF ni chombo cha habari pia.

Wajibu wa kulinda nchi ni wa kila mwananchi.

Katika Information Theory tumefundishwa kanuni ya ku control narrative. Usipotoa habari wewe, watu watakutolea wanavyotaka wao. Ndiyo maana watu wenye akili huwa mbele kutoa habari wao ili wazi control.

Nature abhors a vacuum.

Usipotoa habari muhimu kwako, wengine watatoa habari wanazoona muhimu wao.

Habari unayoiona muhimu isipopeea kipaumbele, hilo ni kosa lako. Hujajipanga kuweza kuitoa habari unayoiona ya muhimu.

Wewe umeleta habari gani ya kujadili mustakabali wa nchi hapa JF?
 
Back
Top Bottom