Franchesco1346
Member
- Jul 26, 2022
- 35
- 12
Hapana boss Wangu Malipo Ni kwa Awamu unalipia Asilimia 40 ndani ya Miezi 6 unalipia Asilimia 60 hivyo unaweza Kulipia kidogo Kidogo karibu sana 0742749886Malipo ni kwa mkupuo?
Hapana boss Wangu Malipo Ni kwa Awamu unalipia Asilimia 40 ndani ya Miezi 6 unalipia Asilimia 60 hivyo unaweza Kulipia kidogo Kidogo karibu sana 0742749886Malipo ni kwa mkupuo?
je squaire mita 600 vipo na sh ngapi?ποΈ Kaole Beach Plots Project!
Je, Unataka kuwa jirani na bahari? Mradi wa Viwanja Kaole Beach Plots unakusubiri! Eneo lipo mita 500 tu kutoka baharini, Bei ni TZS 13,000/= kwa mita ya mraba.
Huduma zote za kijamii zinapatikana, ikiwa ni pamoja na maji, umeme, na barabara. Mradi wa viwanja 48 na sasa vimebaki viwanja 40 tu.
Viwanja vinaanzia ukubwa wa sqm 600 mpaka sqm 5,000 vinamatumizi mbalimbali (Makazi, Biashara, Godown n.k.)
Hivyo fursa hii ni ya haraka sana.
#PataKiwanjaKaribunaBahari! π 0742749886
Hahhahah!!n hakuna Chunusi Boss wanguSi wanasemaga baharini kuna chunusi?
Ndio Hati miliki Kutoka Wizarani Na Tunafatilia Sisi Wenyewe Karibu sanaHati miliki kutoka wizarani?
Si wanasemaga baharini kuna chunusi?
Haapna Eneo Ambalo Limetengwa Kwa ajili ya bandari Ni Eneo Lingine Boss wangu sio eneo la KaoleEneo hilo si nasikia limetengwa kwa ajili ya bandari mpya itakayojengwa? Sasa itakuwaje kwa watakaonunua viwanja?
π€£π€£Utaitumbua na pini...
Eneo hilo si nasikia limetengwa kwa ajili ya bandari mpya itakayojengwa? Sasa itakuwaje kwa watakaonunua viwanja?
najiridhisha vp kwamba hivi viwanja havitaniletea shida maana kampun nyingi zina utapeli siku Sisi Tunashirikiana Na Harmashauri Ya bagamoyo na Pia Karibu Utupigie 0742749886 pia karibu Ofisini Kwetu Kwa Maelezo Zaidi.
Sisi Tunashirikiana Na Halmashauri ya Bagamoyo fika Ofisini Kwetu Kwa ajili Ya maelezo zaidi Au Tupigie 0742749886najiridhisha vp kwamba hivi viwanja havitaniletea shida maana kampun nyingi zina utapeli siku hizi
Sawa Sawa Boss Asante Kwa UshauriMatangazo ya viwanja hawaweki video wanaweka mchoro