Weka avatar ya kiume bwanaIla wanaume bana daah kazi ipo,Yaani hufanya vitu vya ajabu hadi unshangaa ndipo kale kamsemo kanakosema "Mwanaume ana umri wa miaka 22 anaonekana ana miaka 15 afu anafanya matendo ya watoto wenye 12yrs"
Kanathibitika.. Nimecheka sana asee
Wajinga wanatoboa bomuView attachment 1256635