Chanzo cha vita ni Nyerere kurudisha rafiki yake obote madarakani watanzania tulilipia gharama kubwa, tangu hapo uchumi wetu haujawahi kurudi kama mwanzoKwanini Vita ya Kagera na Uganda haikuitwa Vita ya Tanzania na Uganda..?
Kwa sababu hakujawahi kuwepo na vita ya Kagera na Uganda.Kwanini Vita ya Kagera na Uganda haikuitwa Vita ya Tanzania na Uganda..?
Mara nyingi wanaoamini hivi ni wale waliochukulia vita kwa mtazamo wa kidini. Kwamba Nyerere alikuwa anapmbana na dini ya kiongozi wa Uganda. Unfortunately, hizi stories ni za vijiweni japo zimesambaa sana kwa baadhi ya watu.Chanzo cha vita ni Nyerere kulidisha rafiki yake obote, watanzania tulilipia gharama kubwa
unapotosha kwa makusudi wakati chanzo kinajulikana. Acha ushenziChanzo cha vita ni Nyerere kurudisha rafiki yake obote madarakani watanzania tulilipia gharama kubwa, tangu hapo uchumi wetu haujawahi kurudi kama mwanzo
Uko sawa kabisa nakumbuka ilkua na Zimbabwe sio ugandaKwanini Vita ya Kagera na Uganda haikuitwa Vita ya Tanzania na Uganda..?
Chanzo halisi cha vita ya Kagera ni Mwalimu Nyerere kuleta uswahiba kwenye masuala ya kidiplomasia na kiulinzi. Milton Obote alipopinduliwa, Nyerere akampa hifadhi Tanzania. Na hapa Obote alikuja na wafuasi wake na wengine waliponyanyaswa kidogo wakaja kuunga juhudi huku, si ni suala la kuvuka mpaka tu.Mara nyingi wanaoamini hivi ni wale waliochukulia vita kwa mtazamo wa kidini. Kwamba Nyerere alikuwa anapmbana na dini ya kiongozi wa Uganda. Unfortunately, hizi stories ni za vijiweni japo zimesambaa sana kwa baadhi ya watu.
Bahati nzuri, vita inatokea mimi nilikuwa mkubwa tayari.Chanzo halisi cha vita ya Kagera ni Mwalimu Nyerere kuleta uswahiba kwenye masuala ya kidiplomasia na kiulinzi. Milton Obote alipopinduliwa, Nyerere akampa hifadhi Tanzania. Na hapa Obote alikuja na wafuasi wake na wengine waliponyanyaswa kidogo wakaja kuunga juhudi huku, si ni suala la kuvuka mpaka tu.
Museveni mwenyewe alikimbilia Tanzania na mwanae Muhoozi huyu msumbufu alizaliwa huku. Museveni kapewa mafunzo mengine na mipango na serikali ya Nyerere, pale Tanga walijichimbia. Tangu Iddi Amin anafanya mapinduzi maadui zake wanafugwa Tanzania na wanatokea huku wakienda kufanya majaribio ya kumuua au kumpindua wakishindwa wanakimbilia Tanzania.