Vita Dhidi ya Madawa ya Kulevya: JamiiForums na wanachama wake wanaongoza!. Lets Be More Proactive!

Kuna ma don ya unga yamekaa kinondoni,magomeni ,mbezi

Yeye anafuata celebrities tu

Hayupo serious na kwangu mimi naona ni kick tu
 
Safari ni hatua na dalili njema huonekana asubuhi.

Hii ni dalili njema, let's give them time.
Paskali
 


KWAHIYO MZEE WANGU PASKALI, INA MAANA ZILE SAFARI ZA JK ZOTE NJE YA NCHI, WASAIDIZI WAKE PALE TISS WALIKUWA WANAFANYA MAMBO, SASA NIMEGUNDUA KWA YULE BOSS WA TISS ALIYEUWAWA PALE AIPORT YA DSM NA WENZAKE WA TISS, SABABU ULIKUWA NI NINI?
JPM, UKISAFIRI SAFARI ZA NJE NA WASHIRIKA WAKO, KUWA MAKINI MH. JPM....!
 

OMARY SANGA, MFANYABIASHARA JARIAKOO NI NANI HASA????
 
Wengi wenu mnataarifa za uongo, mnatanguliza majungu na fitna, kwa kuwa ww huna, yeyote aliyenacho kwako ni muuza dawa.
 
Ni kweli watu tupaze sauti, enough is enough, alafu watu waache siasa kwenye issue sensitive kama hizi ambazo zinahusu mustakabali wa vijana wa taifa hili. Tunamuomba muheshimiwa Mwigulu Nchemba na yeye ndiyo awe front kwenye hii vita, siyo anagwaya gwaya, wazalendo wa nchi hii wako nyuma yake.
 
Wanataka kuifungia JF,


Sadly!
 
Leo ndiyo itakuwa ushaamini kutokana na Kauli aliyeitoa jpm

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…