undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,011
Kuna ma don ya unga yamekaa kinondoni,magomeni ,mbezipaskali nikuulize kidogo (don't take it personal) unaamini kabisa kwa roho safi pasina shaka kwamba huyo mkuu wa mkoa na huyo mwigulu wapo na nia ya dhati kupambana vita ya madawa kulevya? kuweka wasanii wawili watatu kina wema sepetu detention ndio kunakuaminisha hilo?
Yeye anafuata celebrities tu
Hayupo serious na kwangu mimi naona ni kick tu