Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,877
Mheshimiwa waziri, kwa kauli hizo mkanganyiko unazotoa kwa niaba ya serikali; ungependa sisi tunaoombea nchi tuombee lipi katika hayo uliyoyasema?! Mungu anapenda haki kuliko sadaka.
Huyu Munga kwanini Asiseme wazi yeye ni Mwanasiasa wa mlengo fulani???Kwa kiongozi wa dini mwenye busara mwenye kuhakisi asemacho alitakiwa kwanza awasiliane na Jafo amuulize hiki ambacho ameamua kutumia mitandao kufikisha ujumbe wa swali lake kwa Jafo...Huu ni upuuzi kwa kiongozi wa dini kutafuta umaarufu wakupost kila linalokuja kichwani kwake....
Huyu Munga kwanini Asiseme wazi yeye ni Mwanasiasa wa mlengo fulani???Kwa kiongozi wa dini mwenye busara mwenye kuhakisi asemacho alitakiwa kwanza awasiliane na Jafo amuulize hiki ambacho ameamua kutumia mitandao kufikisha ujumbe wa swali lake kwa Jafo...Huu ni upuuzi kwa kiongozi wa dini kutafuta umaarufu wakupost kila linalokuja kichwani kwake....
Ebu nyie viongozi wa dini mnaotumia mitandao kwenye mambo ya kidunia jifunzeni kwanza kuongea na waumini wenu na pindi mnaposhindwa kuelewana ndio muje kuwashtaki huku kwetu
Tatizo wewe nae ni janga mojawapo la nchi hii....Maana hauna kazi ya maana ya kufanya zaidi ya kuandika upupu 24hrs
😆😆😆😆Tatizo wewe nae ni janga mojawapo la nchi hii....Maana hauna kazi ya maana ya kufanya zaidi ya kuandika upupu 24hrs
Mbona una overreact mkuu ? Munga ni kiongozi wa dini lakini pia ni raia , na kuwa kiongozi wa dini hakuondoi haki zako kama raia. Chaguzi za serikali za mitaa zimekuwa zikifanyika kila baada ya miaka 5 , lakini yanayoendelea sasa hayajawahi shuhudiwa. Leo kiongozi wa serikali anasimama anasema majina yamekatwa kwa mujibu wa sharia na kanuni za uchaguzi, kesho mtu yuleyule anageuka tena anasema yamerudishwa.Huyu Munga kwanini Asiseme wazi yeye ni Mwanasiasa wa mlengo fulani???Kwa kiongozi wa dini mwenye busara mwenye kuhakisi asemacho alitakiwa kwanza awasiliane na Jafo amuulize hiki ambacho ameamua kutumia mitandao kufikisha ujumbe wa swali lake kwa Jafo...Huu ni upuuzi kwa kiongozi wa dini kutafuta umaarufu wakupost kila linalokuja kichwani kwake....
Ebu nyie viongozi wa dini mnaotumia mitandao kwenye mambo ya kidunia jifunzeni kwanza kuongea na waumini wenu na pindi mnaposhindwa kuelewana ndio muje kuwashtaki huku kwetu
punguza jazba alafu tulia sindano ikuingie vizuri.Huyu Munga kwanini Asiseme wazi yeye ni Mwanasiasa wa mlengo fulani???Kwa kiongozi wa dini mwenye busara mwenye kuhakisi asemacho alitakiwa kwanza awasiliane na Jafo amuulize hiki ambacho ameamua kutumia mitandao kufikisha ujumbe wa swali lake kwa Jafo...Huu ni upuuzi kwa kiongozi wa dini kutafuta umaarufu wakupost kila linalokuja kichwani kwake....
Ebu nyie viongozi wa dini mnaotumia mitandao kwenye mambo ya kidunia jifunzeni kwanza kuongea na waumini wenu pale mnapoona wamekosea na pindi mnaposhindwa kuelewana ndio muje kuwashtaki huku kwetu na si kukuambia kuandika mitandano kufanya hivi ni kujionyesha mna chuki tu binafsi au Maslahi binafsi
Hapa kinachotakiwa ni yeye kutimiza wajibu wake kama kiongozi wa dini na si kuja hadharani na kumshitaki muumini wake ili hali hajamsikilizaMbona una overreact mkuu ? Munga ni kiongozi wa dini lakini pia ni raia , na kuwa kiongozi wa dini hakuondoi haki zako kama raia. Chaguzi za serikali za mitaa zimekuwa zikifanyika kila baada ya miaka 5 , lakini yanayoendelea sasa hayajawahi shuhudiwa. Leo kiongozi wa serikali anasimama anasema majina yamekatwa kwa mujibu wa sharia na kanuni za uchaguzi, kesho mtu yuleyule anageuka tena anasema yamerudishwa.
Yaani kiongozi wa dini aache kusema ukweli kisa kuwapendezesha wakiukaji wa demokrasia, sheria, haki za binadamu, waliovuruga uchaguzi. Wewe kama hupendi Askofu kusema ukweli ni wewe ila ukweli umesemwa na Baba askofu kajitenga na maaskofu uchwara waliojiunga kumsifu na kumuabudu shetani wa kinyarwanda.Huyu Munga kwanini Asiseme wazi yeye ni Mwanasiasa wa mlengo fulani???Kwa kiongozi wa dini mwenye busara mwenye kuhakisi asemacho alitakiwa kwanza awasiliane na Jafo amuulize hiki ambacho ameamua kutumia mitandao kufikisha ujumbe wa swali lake kwa Jafo...Huu ni upuuzi kwa kiongozi wa dini kutafuta umaarufu wakupost kila linalokuja kichwani kwake....
Ebu nyie viongozi wa dini mnaotumia mitandao kwenye mambo ya kidunia jifunzeni kwanza kuongea na waumini wenu pale mnapoona wamekosea na pindi mnaposhindwa kuelewana ndio muje kuwashtaki huku kwetu na si kukuambia kuandika mitandano kufanya hivi ni kujionyesha mna chuki tu binafsi au Maslahi binafsi
Wajibu wa kiongozi wa dini ni upi?Hapa kinachotakiwa ni yeye kutimiza wajibu wake kama kiongozi wa dini na si kuja hadharani na kumshitaki muumini wake ili hali hajamsikiliza
Kwani yeye askofu alitaka aombe kipi?Kwani kanisa linapangiwa cha kuomba?je Mungu hajamfunulia cha kuomba ,au hekima,busara na maatifa yake hayajamuonesha aombe kipi?Mheshimiwa waziri, kwa kauli hizo mkanganyiko unazotoa kwa niaba ya serikali; ungependa sisi tunaoombea nchi tuombee lipi katika hayo uliyoyasema?! Mungu anapenda haki kuliko sadaka.
Hapa kinachotakiwa ni yeye kutimiza wajibu wake kama kiongozi wa dini na si kuja hadharani na kumshitaki muumini wake ili hali hajamsikiliza