Vijana wengi nchini ni bendera fuata upepo, hawana maarifa ya kutosha

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Feb 17, 2023
915
1,082
Acha kuwa bendera fuata upepo. Lema anadai Bodaboda ni sio ajira/ nia laana yeye ameleta nini ili kiwe ajira kwako kijana?

Lema anajenga hoja ambazo hazina mashiko, unasema Bodaboda ni laana we unataka vijana wafanye nini au ndo wakusubiri uwe kiongozi mkuu wa nchi ndo kila kijana umpatie ajira?

Vijana wengi wakitanzania wengi ni mbumbumbu, wanachokidai hawakijui ila wakichochewa tu wanawaka.

Mabadiliko tunayohitaji ni YAPI? ukiulizwa ilo swali kijana unaweza kujibu nini?
 
Acha kuwa bendera fuata upepo. Lema anadai Bodaboda ni sio ajira/ nia laana yeye ameleta nini ili kiwe ajira kwako kijana...
Kwili kabisa ila maneno ya kema ukiyatafakali unaweza kuona jambo fulani kwenye hii kazi ya boda boda machinga nk
 
Wameenda kumpokea Lema Airport kaja kawatukana then huyo akiwa anaondoka kwenda huko kuosha vyombo watamsindikiza😁
 
Acha kuwa bendera fuata upepo. Lema anadai Bodaboda ni sio ajira/ nia laana yeye ameleta nini ili kiwe ajira kwako kijana...
Kwahiyo una wasiwasi anachosema Lema kinaeleweka? Lema is just being a Politician anayeleta agenda kinzani ili apate attention, dont, ever look for relevance in a politician, they can use anything for personal gains
 
Back
Top Bottom