babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,601
Naitwa Juliana Shonza, ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi, nipo UVCCM idara ya Hamasa na Chipukizi, kama Katibu Msaidizi.
Nikushauri kitu dada yangu, haya mapungufu(kwa mtazamo wako) unayo yaongelea juu ya CDM ni vyema ukawaachi wale wa kitengo cha LB7. Hata mabosi wako wako walishatamka(akiwepo Wassira) hapa kuwa CDM inakufa lakini imekua kinyume chake.
Vingenevyo kama utaendelea na mtindo huu wa kuandika insha za kuipaka tope CDM utakua tu unaambulia matusi na mwisho wa siku utabaki kudharaulika. Na hii itakusababishia matatizo ya kimahusiano (kama umeolewa) sababu hapa kuna watu wanakujua in & out.
Pumzika uijenge mama uijenge CCM, ina mapungufu mengi mno ambayo yamekua sugu kwa miaka mingi.
Msalimie shemeji!