Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Vijana wengi hawajitambui, wanawaza siasa kwa mtazamo wa kuneemeka na maposho posho, wachache sana wanawaza siasa njia sahihi ya kuikomboa tanzania toka matatiszo yanayotukabili. we have to shape our minds, let us think the future of this country under national development perspective NOT on individual bases. VIJANA WA TANZANIA TUBADILIKE!