Pre GE2025 VIDEO: Vijana wajipaka matope mwili mzima na kupita mbele ya Rais Samia kwenye birthday ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!

Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.

Soma, Pia
Obviously ndiyo hawa Chawa wake wa humu JF, it can't be otherwise.
 
Wakuu

Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!

Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.

Soma, Pia
 

Attachments

  • IMG-20250205-WA0021.jpg
    IMG-20250205-WA0021.jpg
    57.8 KB · Views: 2
Aisee kumbe ndo maana
Ona hata viongozi wao wa chama
 

Attachments

  • 20250205_080656.jpg
    20250205_080656.jpg
    257.5 KB · Views: 2
Kuna mda nikasikia nyimbo ya happy birthday nikawambia walio karib na tv wazime
 
Hao vijana si tatizo kwani mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mimi naangalia tu nyuso za wanaopewa hiyo heshima ya matope! Heri hata makamu mwenyekiti wao ambaye inawezekana alikwepa kadhia hiyo... naamini saa hizo hakuwa pamoja nao.

Naam, wakati huo mzee wa watu yawezekana alikuwa anauchapa usingizi na alipozinduka akayakuta hayo mapanya road yameshatokomea mashimoni.. Kwa desturi panya hakai mbali na shimo na hilo tope ni ushahidi kuwa ni huko huko yalikochomoza
 
Hawa ndio sampuli ya vijana ambao wakitoka hapo wanaingia mitandaoni kuwanunia wenye ajira tena private, wakisikia ajira zao zinaelekea kukoma wanashangilia.

Wale ambao wanajukumu la kuwatengenezea ajira bila ya mafanikio badala ya kupeleka hasira zao huko ndio wanajipaka matope na kuwehuka kwa shangwe kwenye sherehe zao.

Kazi kweli kweli
 
Mi nawaza hivi mama ubongo wake upo sawa kweli!!?

Hashtuki kuona mbona CCM wamezidisha mahaba sana!!?kulikoni!!?
 
Wakuu

Vijana kama vijana kutwa busy na mambo ya uchawa tu!

Kikundi cha Vijana Waliojipaka Matope mwili mzima ni miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye maandamano ya watu elfu 5 walioingia uwanjani na kupita mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM mkoani Dodoma.

Soma, Pia
Hao ni mbwa tu.
 
Back
Top Bottom