LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,578
- 34,699
๐๐๐๐๐Hahahahah asante sana mkuu kwakuliona hilo nashukuru sana
You shall live longer
๐๐๐๐๐Hahahahah asante sana mkuu kwakuliona hilo nashukuru sana
No ! Marijuana inasababisha paranoid. It is a scientific research.And may be because of tough/difficult childhood he may have develop another personality ( Dissociative identity disorder ) na hivyo mnavyosema kuwa possessed huenda ilikuwa ni personality yake nyingine
Wavivu bana๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎNimewahi kuandika kuhusu huyu mwamba hapa wakati huo alikuwa ana post video zake kwa kiingereza tu sikuwahi kujua kama anajua kiswahili.
Kama amenza kuachia tena videos nitakuwa nazileta humu Jf kuzifafanua nilivyo Elewa.
Ila kiukweli hoja zake zinafikirisha Sana amewafanya maelfu ya watu kuamini kweli kwenye Hit Em Up Yule hakuwa Tupac bali pepo akiongea kupitia sauti ya Tupac.
Binafsi kupitia video za huyu jamaa ni naamini kwa asilimia zote tena pasi na Shaka yoyote ile kwamba kwembe wimbo Hit Em Up Tupac alikuwa possessed na spirit ambae ndio alikuwa anaongea.
Ukitazama video za huyu jamaa lazima utaamini kwamba kwenye Hit Em Up Tupac alikuwa possessed
๐๐๐๐๐Wavivu bana๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
I agree with u cause I used to smoke marijuana when I was a kid at secondary school. Ukivuta una kuwa unahisi kama vile kuna mtu anataka kukudhuruNo ! Marijuana inasababisha paranoid. It is a scientific research.
I agree with u cause I used to smoke marijuana when I was a kid at secondary school. Ukivuta una kuwa unahisi kama vile kuna mtu anataka kukudhuruNo ! Marijuana inasababisha paranoid. It is a scientific research.
Halafu kila mtu una kuwa unamuona kama snitch vileI agree with u cause I used to smoke marijuana when I was a kid at secondary school. Ukivuta una kuwa unahisi kama vile kuna mtu anataka kukudhuru
Uthibitisho utaupata ukitazama hizo videos plus kitabu kwenye mfumo wa video ambacho kina chapters 77porojo kama porojo zingine
sijaona uthibitisho wa pac kupandwa na pepo zaidi ya dhahania
pac alikuwa kachafukwa tu hakuna cha pepo
Anajiquote na anajireply mwenyewe, mtu wa hivi ni yule asiyejiamini na hoja zake hivyo anajaribu kutafuta validation kwa namna yoyote ile, ili azipe nguvu hoja zake na ajione au aonekane yuko sahihi hasa pale anapoona wengi wanampingaIshu ya split personality
I never liked your whole thread to start with. Why are you people demonizing good music?I dislike your comment. It is not uplifting