Video : Rapper Tupac alikuwa amepandwa na pepo wakati yupo studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up"

Fateema

JF-Expert Member
Feb 8, 2024
461
782
Pepo huyo ndie aliekuwa anaongea kwenye wimbo " Hit Em Up" Kupitia midomo na sauti ya Tupac.

Haya si maneno yangu bali nimeyakuta huko TikTok.

Mtoa hoja hii anasema yeye ni mtaalamu wa Sayansi na Sanaa ya Lugha za kiroho.

Vile vile ni mtaalamu wa Sayansi na Sanaa ya kusoma Sauti za ndani za watu, vitu, wanyama, viumbe wa kiroho na matukio mbalimbali.

Anasema ameya study maisha na muziki wa Tupac Shakur na Notorious BIG kwa much wa miaka 20 na ame u study wimbo " Hit Em Up" Kwa miaka 20 na kupitia taaluma yake ya " Sayansi na Sanaa ya Lugha za Kiroho " Pamoja na " Sayansi na Sanaa ya Kusoma Sauti za Ndani" amegundua kwamba, mwaka 96 wakati Tupac yupo busy studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up", Tupac alikuwa amepandwa na pepo na kwamba pepo huyo ndie alie kuwa akiongea kwenye wimbo " Hit Em Up" Kupitia Sauti ya Tupac.



Anasema kupitia taaluma yake ya Sanaa na Sayansi ya Lugha za kiroho, pamoja na Sanaa na Sayansi ya Sauti za Ndani, amethibitisha pasi na Shaka yoyote ile ( Proving beyond any reasonable doubt) kwamba wakati Tupac Shakur anarekodi wimbo " Hit Em Up" alikuwa amepandwa na pepo na kwamba ukiyaondoa maneno 25 pekee, maneno yote kutoka kwenye kinywa na sauti ya Tupac Ndani ta wimbo Hit Em Up, ni maneno ya pepo huyo kupitia kinywa na midomo ya Tupac.

Vile vile anasema anatoa tafsiri ya kina la kila neno kutoka kwenye kinywa na sauti ya Tupac Shakur Ndani ya wimbo Hit Em Up.

Na katika kuonyesha kwamba anajiamini kwenye hoja yake anaachia kitabu ambacho kitakuwa katika mfumo wa video ambazo atazipost kupitia You Tube Channel yake.

Kule Tik tok amesema hizo video za kitabu chake ambacho amekipa jina " Spiritual Aspect of the Song Hit Em Up" Ataanza kuziachia rasmi tatehe 16 June 2025 ambayo tarehe 16 June ni birthday ya Tupac.


To what extent do u agree with him?

Nieambatanisha na video 👇👇👇


View: https://youtube.com/watch?v=iElmWms5ICs&si=ZzNZOeUlzVAeULlA
 

Attachments

  • 1d2960e5ef92c1dfeba1105197cc08d8.mp4
    9.5 MB
Pepo huyo ndie aliekuwa anaongea kwenye wimbo " Hit Em Up" Kupitia midomo na sauti ya Tupac.

Haya si maneno yangu bali nimeyakuta huko TikTok.

Mtoa hoja hii anasema yeye ni mtaalamu wa Sayansi na Sanaa ya Lugha za kiroho.

Vile vile ni mtaalamu wa Sayansi na Sanaa ya kusoma Sauti za ndani za watu, vitu, wanyama, viumbe wa kiroho na matukio mbalimbali.

Anasema ameya study maisha na muziki wa Tupac Shakur na Notorious BIG kwa much wa miaka 20 na ame u study wimbo " Hit Em Up" Kwa miaka 20 na kupitia taaluma yake ya " Sayansi na Sanaa ya Lugha za Kiroho " Pamoja na " Sayansi na Sanaa ya Kusoma Sauti za Ndani" amegundua kwamba, mwaka 96 wakati Tupac yupo busy studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up", Tupac alikuwa amepandwa na pepo na kwamba pepo huyo ndie alie kuwa akiongea kwenye wimbo " Hit Em Up" Kupitia Sauti ya Tupac.



Anasema kupitia taaluma yake ya Sanaa na Sayansi ya Lugha za kiroho, pamoja na Sanaa na Sayansi ya Sauti za Ndani, amethibitisha pasi na Shaka yoyote ile ( Proving beyond any reasonable doubt) kwamba wakati Tupac Shakur anarekodi wimbo " Hit Em Up" alikuwa amepandwa na pepo na kwamba ukiyaondoa maneno 25 pekee, maneno yote kutoka kwenye kinywa na sauti ya Tupac Ndani ta wimbo Hit Em Up, ni maneno ya pepo huyo kupitia kinywa na midomo ya Tupac.

Vile vile anasema anatoa tafsiri ya kina la kila neno kutoka kwenye kinywa na sauti ya Tupac Shakur Ndani ya wimbo Hit Em Up.

Na katika kuonyesha kwamba anajiamini kwenye hoja yake anaachia kitabu ambacho kitakuwa katika mfumo wa video ambazo atazipost kupitia You Tube Channel yake.

Kule Tik tok amesema hizo video za kitabu chake ambacho amekipa jina " Spiritual Aspect of the Song Hit Em Up" Ataanza kuziachia rasmi tatehe 16 June 2025 ambayo tarehe 16 June ni birthday ya Tupac.


To what extent do u agree with him?

Nieambatanisha na video 👇👇👇


View: https://youtube.com/watch?v=iElmWms5ICs&si=ZzNZOeUlzVAeULlA

Uzi ni mzuri ila unataka kuuharibu kutokana na baadhi ya watu uliowatag
 
Nimewahi kuandika kuhusu huyu mwamba hapa wakati huo alikuwa ana post video zake kwa kiingereza tu sikuwahi kujua kama anajua kiswahili.

Kama amenza kuachia tena videos nitakuwa nazileta humu Jf kuzifafanua nilivyo Elewa.

Ila kiukweli hoja zake zinafikirisha Sana amewafanya maelfu ya watu kuamini kweli kwenye Hit Em Up Yule hakuwa Tupac bali pepo akiongea kupitia sauti ya Tupac.

Binafsi kupitia video za huyu jamaa ni naamini kwa asilimia zote tena pasi na Shaka yoyote ile kwamba kwembe wimbo Hit Em Up Tupac alikuwa possessed na spirit ambae ndio alikuwa anaongea.

Ukitazama video za huyu jamaa lazima utaamini kwamba kwenye Hit Em Up Tupac alikuwa possessed
 
Nimewahi kuandika kuhusu huyu mwamba hapa wakati huo alikuwa ana post video zake kwa kiingereza tu sikuwahi kujua kama anajua kiswahili.

Kama amenza kuachia tena videos nitakuwa nazileta humu Jf kuzifafanua nilivyo Elena.

Ila kiukweli hoja zake zinafikirisha Sana amewafanya maelfu ya watu kuamini kweli kwenye Hit Em Up Yule hakuwa Tupac bali pepo akiongea kupitia sauti ya Tupac.

Binafsi kupitia video za huyu jamaa ni naamini kwa asilimia zote tena pasi na Shaka yoyote ile kwamba kwembe wimbo Hit Em Up Tupac alikuwa possessed na spirit ambae ndio alikuwa anaongea.

Ukitazama video za huyu jamaa lazima utaamini kwamba kwenye Hit Em Up Tupac alikuwa possessed
Yes na mimi kwa mara ya kwanza nilisoma kwako then Leo nimekutana nayo Tiktok nikawa interested
 
Nimewahi kuandika kuhusu huyu mwamba hapa wakati huo alikuwa ana post video zake kwa kiingereza tu sikuwahi kujua kama anajua kiswahili.

Kama amenza kuachia tena videos nitakuwa nazileta humu Jf kuzifafanua nilivyo Elena.

Ila kiukweli hoja zake zinafikirisha Sana amewafanya maelfu ya watu kuamini kweli kwenye Hit Em Up Yule hakuwa Tupac bali pepo akiongea kupitia sauti ya Tupac.

Binafsi kupitia video za huyu jamaa ni naamini kwa asilimia zote tena pasi na Shaka yoyote ile kwamba kwembe wimbo Hit Em Up Tupac alikuwa possessed na spirit ambae ndio alikuwa anaongea.

Ukitazama video za huyu jamaa lazima utaamini kwamba kwenye Hit Em Up Tupac alikuwa possessed
So una amini Tupac alikuwa amepandwa na pepo kwenye wimbo Hit Em Up?
 
Mule ndani Hadi sickle cell ilitukanwa!Bonge moja la diss track!!!
All of y'all motherfuckers, https://jamii.app/JFUserGuide you, die slow, motherfucker
My .44 make sure all y'all kids don't grow
You motherfuckers can't be us or see us
We motherfuckin' Thug Life riders, Westside 'til we die🙌🙌🙌
 
Mule ndani Hadi sickle cell ilitukanwa!Bonge moja la diss track!!!
All of y'all motherfuckers, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you, die slow, motherfucker
My .44 make sure all y'all kids don't grow
You motherfuckers can't be us or see us
We motherfuckin' Thug Life riders, Westside 'til we die🙌🙌🙌
Ni pepo llikuwa linaongea. Huyu jamaa alieandika " SPIRITUAL ASPECT OF THE SONG HIT EM UP" amefafanua vizuri Sana yani
 
Back
Top Bottom