VIDEO: Rais Samia amuombea kura za Ukurugenzi wa WHO Mohammedi Janabi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
28,969
20,762
Ndugu zangu Watanzania,

Nashindwa niandike nini ,nashindwa niseme nini ,nashindwa nieleze vipi juu ya uwezo mkubwa wa kiakili alionao na aliojaliwa kuwa nao Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Rais Samia ni Mpango wa Mungu,ni chaguo la Mungu na kapewa akili nyingi na maarifa Makubwa na Mungu Mwenyewe.

Sasa kumekucha ,sasa kumepambazuka, sasa mambo yameiva, sasa ushindi upo Mikononi Mwetu, sasa ni suala la muda tu kwa profesa Mohammedi Janabi kutangazwa kuwa mkurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika , sasa bendera ya Tanzania ipo kileleni ikipepea katika mioyo ya wa Afrika na ma RAIS wa Afrika.

Sasa Tanzania ndio habari ya Mjini ,sasa Tanzania ndio inayoendelea kugonga na kuteka vichwa vya habari na habari mitandaoni.

Hii ni baada ya Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuingia katika uwanja wa vita, kusogeza vifaa vya kivita katika uwanja wa mapambano, kuja mstari wa mbele katika uwanja wa mapambano katika kumuombea kura Professor Mohammedi Janabi anayewania ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.

Jemedari mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kwenda na kupeleka jeshi vitani ,ni wakati gani wa kurusha Makombora kwa adui na yatue wapi. Jemedari mzuri ni yule anayeshinda vita kabla ya kuingia vitani. Tayari Tanzania tumeshashinda vita hii chini ya uongozi Thabiti, madhubuti,imara na hodari wa Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia.

Rais Samia ni jasusi,ni komandoo hodari, ni askari mwenye shabaha
.hajawahi kushindwa katika vita ya aina yoyote ile huyu Mama yetu Mpendwa. Akimpa mtu baraka ni lazima ashinde tu huyo mtu. Akiweka mkono wake mahali ni lazima baraka na Neema zitiririke,. Akitia neno mahali ni lazima matunda na matokeo chanya yapatikane.

Mama kwa upole ,unyenyekevu,utulivu, kwa hoja nzito na ujasiri wa hali ya juu kabisa kuwahi Kushuhudiwa amejitokeza mbele ya Bara la Afrika na macho ya Dunia nzima kumuombea kura profesa janabi. Ambapo kwa kiingereza safi na Kilichonyooka kama rula ameelezea uzoefu mkubwa alionao Prof janabi na mchango wake mkubwa katika secta ya Afya .na kuwa huyu ni mtu sahihi kabisa katika kuleta matokeo Chanya katika secta ya Afya Barani Afrika.

Kuna faida kubwa sana kwa Taifa kuongozwa na Rais mwenye ushawishi kwa watu wa Mataifa mbalimbali kama ilivyo kwa Rais Samia.kuna raha ya kuwa na kiongozi aina ya Rais Samia mwenye uwezo wa kujieleza na kujenga hoja zenye kugusa watu,mwenye akili kubwa na upeo wa juu.

Watanzania tuna kila sababu kuandaa akili kubwa na viongozi wenye ushawishi kama tulivyo bahatika kumpata Rais Samia. Viongozi ambao wakisimama kuzungumzia hadharani. Watu wote na Bara lote na vyombo vyote vya habari vinasimama kwa utulivu kumsikiliza. Ni neema kwa Taifa letu kuwa na RAIS Samia katika kiti cha Urais.
Screenshot_20250407-223927_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Kwani huko pia wizi wa kura umeruhusiwa?

Sioni akishinda!
Tanzania tunakwenda kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima na mpaka sasa tayari ushindi upo Mikononi Mwetu. Rais Samia hajawahi kushindwa kitu . Hajawahi kupoteza pambano wala kushindwa katika uwanja wa vita. Tayari ameimaliza vita kabla ya kuingia uwanja wa mapambano. Kinachosubiriwa ni Profesa janabi kumiminiwa kura za ushindi tu.
 
Tanzania tunakwenda kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima na mpaka sasa tayari ushindi upo Mikononi Mwetu. Rais Samia hajawahi kushindwa kitu . Hajawahi kupoteza pambano wala kushindwa katika uwanja wa vita. Tayari ameimaliza vita kabla ya kuingia uwanja wa mapambano. Kinachosubiriwa ni Profesa janabi kumiminiwa kura za ushindi tu.
Ni kweli,

Hajawahi kushindwa sababu hajawahi kugombea urais..

Ni mserereko tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashindwa niandike nini ,nashindwa niseme nini ,nashindwa nieleze vipi juu ya uwezo mkubwa wa kiakili alionao na aliojaliwa kuwa nao Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Rais Samia ni Mpango wa Mungu,ni chaguo la Mungu na kapewa akili nyingi na maarifa Makubwa na Mungu Mwenyewe.

Sasa kumekucha ,sasa kumepambazuka, sasa mambo yameiva, sasa ushindi upo Mikononi Mwetu, sasa ni suala la muda tu kwa profesa Mohammedi Janabi kutangazwa kuwa mkurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika , sasa bendera ya Tanzania ipo kileleni ikipepea katika mioyo ya wa Afrika na ma RAIS wa Afrika.

Sasa Tanzania ndio habari ya Mjini ,sasa Tanzania ndio inayoendelea kugonga na kuteka vichwa vya habari na habari mitandaoni.

Hii ni baada ya Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuingia katika uwanja wa vita, kusogeza vifaa vya kivita katika uwanja wa mapambano, kuja mstari wa mbele katika uwanja wa mapambano katika kumuombea kura Professor Mohammedi Janabi anayewania ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.

Jemedari mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kwenda na kupeleka jeshi vitani ,ni wakati gani wa kurusha Makombora kwa adui na yatue wapi. Jemedari mzuri ni yule anayeshinda vita kabla ya kuingia vitani. Tayari Tanzania tumeshashinda vita hii chini ya uongozi Thabiti, madhubuti,imara na hodari wa Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia.

Rais Samia ni jasusi,ni komandoo hodari, ni askari mwenye shabaha
.hajawahi kushindwa katika vita ya aina yoyote ile huyu Mama yetu Mpendwa. Akimpa mtu baraka ni lazima ashinde tu huyo mtu. Akiweka mkono wake mahali ni lazima baraka na Neema zitiririke,. Akitia neno mahali ni lazima matunda na matokeo chanya yapatikane.

Mama kwa upole ,unyenyekevu,utulivu, kwa hoja nzito na ujasiri wa hali ya juu kabisa kuwahi Kushuhudiwa amejitokeza mbele ya Bara la Afrika na macho ya Dunia nzima kumuombea kura profesa janabi. Ambapo kwa kiingereza safi na Kilichonyooka kama rula ameelezea uzoefu mkubwa alionao Prof janabi na mchango wake mkubwa katika secta ya Afya .na kuwa huyu ni mtu sahihi kabisa katika kuleta matokeo Chanya katika secta ya Afya Barani Afrika.View attachment 3296160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uchawa ni laana
Uchawa ni uchawi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashindwa niandike nini ,nashindwa niseme nini ,nashindwa nieleze vipi juu ya uwezo mkubwa wa kiakili alionao na aliojaliwa kuwa nao Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Rais Samia ni Mpango wa Mungu,ni chaguo la Mungu na kapewa akili nyingi na maarifa Makubwa na Mungu Mwenyewe.

Sasa kumekucha ,sasa kumepambazuka, sasa mambo yameiva, sasa ushindi upo Mikononi Mwetu, sasa ni suala la muda tu kwa profesa Mohammedi Janabi kutangazwa kuwa mkurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika , sasa bendera ya Tanzania ipo kileleni ikipepea katika mioyo ya wa Afrika na ma RAIS wa Afrika.

Sasa Tanzania ndio habari ya Mjini ,sasa Tanzania ndio inayoendelea kugonga na kuteka vichwa vya habari na habari mitandaoni.

Hii ni baada ya Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuingia katika uwanja wa vita, kusogeza vifaa vya kivita katika uwanja wa mapambano, kuja mstari wa mbele katika uwanja wa mapambano katika kumuombea kura Professor Mohammedi Janabi anayewania ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.

Jemedari mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kwenda na kupeleka jeshi vitani ,ni wakati gani wa kurusha Makombora kwa adui na yatue wapi. Jemedari mzuri ni yule anayeshinda vita kabla ya kuingia vitani. Tayari Tanzania tumeshashinda vita hii chini ya uongozi Thabiti, madhubuti,imara na hodari wa Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia.

Rais Samia ni jasusi,ni komandoo hodari, ni askari mwenye shabaha
.hajawahi kushindwa katika vita ya aina yoyote ile huyu Mama yetu Mpendwa. Akimpa mtu baraka ni lazima ashinde tu huyo mtu. Akiweka mkono wake mahali ni lazima baraka na Neema zitiririke,. Akitia neno mahali ni lazima matunda na matokeo chanya yapatikane.

Mama kwa upole ,unyenyekevu,utulivu, kwa hoja nzito na ujasiri wa hali ya juu kabisa kuwahi Kushuhudiwa amejitokeza mbele ya Bara la Afrika na macho ya Dunia nzima kumuombea kura profesa janabi. Ambapo kwa kiingereza safi na Kilichonyooka kama rula ameelezea uzoefu mkubwa alionao Prof janabi na mchango wake mkubwa katika secta ya Afya .na kuwa huyu ni mtu sahihi kabisa katika kuleta matokeo Chanya katika secta ya Afya Barani Afrika.View attachment 3296160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kiingereza safi unakijua wewe, Kiranga Plz review hy English hapo tumtoe kamasi huyu funza!
 
Tanzania tunakwenda kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima na mpaka sasa tayari ushindi upo Mikononi Mwetu. Rais Samia hajawahi kushindwa kitu . Hajawahi kupoteza pambano wala kushindwa katika uwanja wa vita. Tayari ameimaliza vita kabla ya kuingia uwanja wa mapambano. Kinachosubiriwa ni Profesa janabi kumiminiwa kura za ushindi tu.
Eti ushindi wa kishindo!

Unadhani huko kuna tume kama ya CCM eti itaengua washindani ili abaki Janabi pekeyake hivyo kumtengenezea mazingira batili ya ushindi?

Unadhani huko kuna wajumbe wa CCM walioshikwa akili na posho mpaka wafanye kama alivyofanya mama Abdul , mwezi January kujipitisha kuwa mgombea urais pekee?

Hiyo ni academic arena ndio maana hata dada yako Jenista alipogusa huko alitia aibu!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashindwa niandike nini ,nashindwa niseme nini ,nashindwa nieleze vipi juu ya uwezo mkubwa wa kiakili alionao na aliojaliwa kuwa nao Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Rais Samia ni Mpango wa Mungu,ni chaguo la Mungu na kapewa akili nyingi na maarifa Makubwa na Mungu Mwenyewe.

Sasa kumekucha ,sasa kumepambazuka, sasa mambo yameiva, sasa ushindi upo Mikononi Mwetu, sasa ni suala la muda tu kwa profesa Mohammedi Janabi kutangazwa kuwa mkurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika , sasa bendera ya Tanzania ipo kileleni ikipepea katika mioyo ya wa Afrika na ma RAIS wa Afrika.

Sasa Tanzania ndio habari ya Mjini ,sasa Tanzania ndio inayoendelea kugonga na kuteka vichwa vya habari na habari mitandaoni.

Hii ni baada ya Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuingia katika uwanja wa vita, kusogeza vifaa vya kivita katika uwanja wa mapambano, kuja mstari wa mbele katika uwanja wa mapambano katika kumuombea kura Professor Mohammedi Janabi anayewania ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika.

Jemedari mzuri ni yule anayejua ni wakati gani wa kwenda na kupeleka jeshi vitani ,ni wakati gani wa kurusha Makombora kwa adui na yatue wapi. Jemedari mzuri ni yule anayeshinda vita kabla ya kuingia vitani. Tayari Tanzania tumeshashinda vita hii chini ya uongozi Thabiti, madhubuti,imara na hodari wa Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia.

Rais Samia ni jasusi,ni komandoo hodari, ni askari mwenye shabaha
.hajawahi kushindwa katika vita ya aina yoyote ile huyu Mama yetu Mpendwa. Akimpa mtu baraka ni lazima ashinde tu huyo mtu. Akiweka mkono wake mahali ni lazima baraka na Neema zitiririke,. Akitia neno mahali ni lazima matunda na matokeo chanya yapatikane.

Mama kwa upole ,unyenyekevu,utulivu, kwa hoja nzito na ujasiri wa hali ya juu kabisa kuwahi Kushuhudiwa amejitokeza mbele ya Bara la Afrika na macho ya Dunia nzima kumuombea kura profesa janabi. Ambapo kwa kiingereza safi na Kilichonyooka kama rula ameelezea uzoefu mkubwa alionao Prof janabi na mchango wake mkubwa katika secta ya Afya .na kuwa huyu ni mtu sahihi kabisa katika kuleta matokeo Chanya katika secta ya Afya Barani Afrika.

Kuna faida kubwa sana kwa Taifa kuongozwa na Rais mwenye ushawishi kwa watu wa Mataifa mbalimbali kama ilivyo kwa Rais Samia.kuna raha ya kuwa na kiongozi aina ya Rais Samia mwenye uwezo wa kujieleza na kujenga hoja zenye kugusa watu,mwenye akili kubwa na upeo wa juu.

Watanzania tuna kila sababu kuandaa akili kubwa na viongozi wenye ushawishi kama tulivyo bahatika kumpata Rais Samia. Viongozi ambao wakisimama kuzungumzia hadharani. Watu wote na Bara lote na vyombo vyote vya habari vinasimama kwa utulivu kumsikiliza. Ni neema kwa Taifa letu kuwa na RAIS Samia katika kiti cha Urais.View attachment 3296160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ungejalibu kwenda kuleta fujo hata kwenye mkutano wa Chadema ili wakupige uonekane,labda watakupa cheo
 
Eti ushindi wa kishindo!

Unadhani huko kuna tume kama ya CCM eti itaengua washindani ili abaki Janabi pekeyake hivyo kumtengenezea mazingira batili ya ushindi?

Unadhani huko kuna wajumbe wa CCM walioshikwa akili na posho mpaka wafanye kama alivyofanya mama Abdul , mwezi January kujipitisha kuwa mgombea urais pekee?

Hiyo ni academic arena ndio maana hata dada yako Jenista alipogusa huko alitia aibu!
Afrika nzima imesimama na Tanzania kumuunga mkono Mgombea wake. Afrika imeiskia Sauti ya Mama na imekubali kuipa ushindi wa kishindo na heshima Tanzania
 
Back
Top Bottom