sio kukanusha kuwa hajsema ivo?mkuu kuna mdau asubuhi alidai kuwa story ni ya kupika na cuf walikuwa watoe tamko kulaani hiyo habari
Lipumba kawaambia machoni mwao bila kumung'unya tena kwa kiswahili safi.Nitashangaa sana endapo Mtatiro na watu wengine makini wote waliopo CUF watakubali kuendelea kuwa chini ya uenyeketi wa huyu bwana.
.
Nimeisikiliza mkuu.Fanya ulinganifu. Mbowe akemea udini Chadema: Mbowe akemea udini, ukabila - YouTube
Hiyo wala haikuwa propaganda.Ningekuwa Mtatiro ningejiuzulu Nyadhifa Zote Ndani ya CUF.
Pia Ningerudisha Kadi yao ya Uanachama maana Mwenyekiti wa CUF amesmea Kuwa yeye Yupo Kwa ajili ya Maslahi ya Waislam.
Thats to Say, Chama cha CUF Kipo kwa ajli ya Dini ya Kiislam.
Pia nitawashangaa sana kama still Wanachama wote wa CUF (Wa Kristo, including Magdalenna Sakaya) Kama Bado wataendelea Kujiona nao ni Sehemu ya Kutekeleza Mipango michafu ya CUF
My Take
CCM Walipokuja na Propaganda ya CUF kuwa ni Chama cha Kiislam, walikuwa sahihi 100000%
Lipumba hafai hata kuwa Imamu wa msikiti, akiwa Imamu atataka awe Imamu wa Maisha kama alivyokuwa Mwenyekiti wa Maisha huko CUF
Waislam for 50 yrs bado tunalalamika na kuendelea kuichagua CCM badala ya kuangalia maendeleo ya nchi, sisi tunakadhania Uislam na Ukiristo huku Rasilimali zetu zinaibiwa na Wawekezaji walioletwa na Kikwete na CCM yake
Rais
Jaji Mkuu
Mkubwa wa Usalama wa Taifa
IGP
Hao wote ni waislam na bado tunalalamika kuwa tunaonewa, ni nani hasa anayetuonea kama sio sisi wenyewe tunaoneana? Tusitafute mchawi wakati mchawi wetu tunamchua kuwa ni CCM.
Badala ya kufikiria Maendeleo ya Taifa letu bado tumegubigwa udini na kunyooshea wenyewe kwa wenyewe vidole, sisi wote ni Watanzania na tuna haki ya kuishi katika Taifa letu bila ya kujali dini. Adui wa Muislan ni CCM hakuna mwengine.
Kikwete nchi imemshinda asitafute mchawi, aondoke kabla halijaangamia hili Taifa.
Sisi Waislam tujue kuwa Ukiristo, Uislam, Ubaniani, Ugalatia na dini nyingine zitakuwepo Tanzania na zitaendele kuwepo, as long the world still exist na hizo dini zitakuwepo.
Kwa hiyo wahubiri wa dini, Get lost
Adui wa Waislam ni CCM, tukifanikiwa kumtoa hii nchi itatulia na maendeleo ya nchi yatapatikana
Bado Nina Mashaka na Elimu ya Prof Lipumba naona haiimsaidi kujua lipi ni zuri na lipi ni baya kulisema kwenye jamii, hafai hata kuwa Kiongozi wa Mtaa. Shame on him.
Huyu Lipumba hana lolote anajitia anatatea haki za dini kumbe uchu wa madaraka kama alivyo Kikwete, Lipumba hafai hata kuongoza kwao urambo hatoweza.
- Ni Sheikhe Mwendawazimu tu ndio ambaye angependa/anapenda/atapenda kumuona Padre yupo Ikulu anaongoza nchi
- Ni Padre/Askofu/Mchungaji Mwendawazimu tu ambaye angependa/anapenda/atapenda kumuona Sheikhe yupo Ikulu anaongoza Nchi.
- Si jambo la kushangaza kumuona Askofu/Padre/Mchungaji akimpigia kampeni Padre ili aingie Ikulu kuongoza Nchi.
Haya ndio yaliyotokea 2010 na Prof.Lipumba alikuwa anayaanika.Kosa alilolifanya Prof.Lipumba ni kwenda kuyaanika haya mambo Misikitini.Kichomsukuma kufanya hivi ni hiki:
- Wanachama na mashabiki wengi wa CUF ni Waislamu
Ni kichaa tu ndio atakayekataa ukweli huu
- Wanachama na washabiki wengi wa CHADEMA ni Wakristo