Video: Mjadala wa Muungano unaendelea. Leo ni zamu ya Askofu Zachary Kakobe wa makanisa ya FGBF kutia neno. Tanganyika lazima irudi, ni urithi wetu...

Uzima Tele

JF-Expert Member
Jan 20, 2023
1,183
2,564
Tutazuia hadi lini?

Ni makala fupi kwa njia ya video kama inavyoletwa kwako na Mwandishi na Mwahabari nguli Ansbert Ngurumo aishiye uhamishoni Uingereza..

Ni kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Safari hii amemwibua na kumleta kwetu Askofu Zachary Kakobe wa makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship Tanzania (FBGF).

Tazama na sikiliza kwa makini hadi mwisho video hii 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻ya dakika 9 tu na kisha baada ya hapo tia neno lako..


Askofu Zachary Kakobe anatumia Biblical perspective (mtazamo wa ki-Biblia - Neno la Mungu) katika kujenga hoja yake juu ya mpango wa Mungu tangu mwanzo kuwapa kila watu nchi au mataifa yao yenye mipaka ulimwenguni pote...

Anasema Tanganyika kurudi ni swala la muda tu kwa sababu ni mapenzi ya Mungu kuwarejeshea Watanganyika nchi na taifa lao la Tanganyika lililopotezwa na Nyerere na wenzake wachache ktk mazingira ya ajabu yasiyoweza kuelezeka kirahisi na kueleweka kwa watu wenye akili timamu..

Anaendelea kusema kuwa, ndiyo maana kila mara hoja hii inapoonekana kama kupotea, ghafla baada ya muda Mungu huinua watu wengine vinara wa kuongoza vita ya madai ya nchi/taifa la Tanganyika kwa nguvu na kasi kubwa sana...

Haya anayaongelea kanisani kwake. Waumini wake wabaonekana kuelewa somo vizuri sana. Wanabebwa na hamasa ya nguvu kweli kuitaka Tanganyika yao..

Na mwisho Mwandishi Ansbert Ngurumo anahitimisha makala yake na swali: TUTAZUIA..?.........HADI LINI??
 
Tutazuia hadi lini?

Ni makala fupi kwa njia ya video kama inavyoletwa kwako na Mwandishi na Mwahabari nguli Ansbert Ngurumo aishiye uhamishoni Uingereza..

Ni kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Safari hii amemwibua na kumleta kwetu Askofu Zachary Kakobe wa makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship Tanzania (FBGF).

Tazama na sikiliza kwa makini hadi mwisho video hii 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻ya dakika 9 tu na kisha baada ya hapo tia neno lako..
View attachment 2993508

Askofu Zachary Kakobe anatumia Biblical perspectives (Biblia - Neno la Mungu) katika kujenga hoja yake juu ya mpango wa Mungu tangu mwanzo kuwapa kila watu nchi au mataifa yao yenye mipaka..

Anasema Tanganyika kurudi ni swala la muda tu kwa sababu ni mapenzi ya Mungu kuwarejeshea Watanganyika nchi na taifa lao la Tanganyika lililopotezwa na Nyerere na wenzake wachache ktk mazingira ya ajabu yasiyoweza kuelezeka kirahisi na kueleweka kwa watu wenye akili timamu..

Anaendelea kusema kuwa, ndiyo maana kila mara hoja hii inapoonekana kama kupotea, ghafla baada ya muda Mungu huinua watu vinara wa kuongiza madai ya nchi/taifa lao nguvu na kwa kasi sana...

Anaongelea kanisani kwake. Waumini wake wabaonekana wana hamasa ya nguvu kweli na Tanganyika yao..

Mwushi Mwandishi Ansbert Ngurumo anahitimisha makala yake na swali: TUTAZUIA..?.........HADI LINI??
Jukwaa la kujadili Muungano limefunguliwa lini? Naona imepamba moto sasa.
 
Jukwaa la kujadili Muungano limefunguliwa lini? Naona imepamba moto sasa.
Liko wazi miaka yote tangu 1964...

Safari hii naona wazi kuwa, mtoto hatumwi dukani..

Lazima kitaeleweka tu..

Mtu aliyekuwa amekufa (Tundu Lissu), akafufuka ndiye kinara wa mapambano haya...

This time ushindi wa vita uko peupe na wazi mno kwa sababu;

SABABU YA KUWASHINDA TUNAYO.......!

NIA YA KUWASHINDA TUNAYO......!

NA UWEZO WA KUSHINDA TUNAO......!
 
Kazi ipo kweli kweli, ila muungano utakuwepo na watoto wa 2035 watauona tu iwe iwavyo. Tutapiga zogo weeeeeeh, ila tukumbuke mama ndio mwenye kiti wa ccm. Kama upinzani utashindwa kukipindua chama tawala(mama), *ambapo kiuhalisia hili haliwezekani kwa sasa chini ya jua, basi tujue muungano utakuwepokuwepo sana tu. Shukran sana kwa wanaharakati, ipo cku muungano utavunjika ila tukiwa chini ya rais mungine. Harakati za kina kubwa tundu zitakuja kuzaa matunda baadae. Ijapokuwa kuna uwezekano ccm itabaki madarakani hili likitokea, ila ndio umuhimu wa upinzani, kuwapush viongozi waliopo madarakani kuisogeza nchi pema zaidi kwa manufaa ya taifa zima kwa ujumla. Psychologically I'm prepared kuongozwa na mama till 2035, painful to some people but this is the nude truth. Hahaha
 
Kazi ipo kweli kweli, ila muungano utakuwepo na watoto wa 2035 watauona tu iwe iwavyo. Tutapiga zogo weeeeeeh, ila tukumbuke mama ndio mwenye kiti wa ccm. Kama upinzani utashindwa kukipindua chama tawala(mama), *ambapo kiuhalisia hili haliwezekani kwa sasa chini ya jua, basi tujue muungano utakuwepokuwepo sana tu. Shukran sana kwa wanaharakati, ipo cku muungano utavunjika ila tukiwa chini ya rais mungine. Harakati za kina kubwa tundu zitakuja kuzaa matunda baadae. Ijapokuwa kuna uwezekano ccm itabaki madarakani hili likitokea, ila ndio umuhimu wa upinzani, kuwapush viongozi waliopo madarakani kuisogeza nchi pema zaidi kwa manufaa ya taifa zima kwa ujumla. Psychologically I'm prepared kuongozwa na mama till 2035, painful to some people but this is the nude truth. Hahaha
Niseme wewe n fala na lofa ...na mshenzi..pia...
 
Niseme wewe n fala na lofa ...na mshenzi..pia...
Mtu hakosei kulingana na fikra zake, ila tukija kwenye common reasoning, ni upuuzi uliotukuka kwa kupinga hoja kwa matusi. Ny, ckulaumu, ndipo uwezo wako mfupi wa kufukiria ulipoishia. Ukitaka nothibitishe fikra zangu kwako, nijibu kwa hoja na sio kwa matusi, bila shaka tutajua panapovuja.
 
Tutazuia hadi lini?

Ni makala fupi kwa njia ya video kama inavyoletwa kwako na Mwandishi na Mwahabari nguli Ansbert Ngurumo aishiye uhamishoni Uingereza..

Ni kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Safari hii amemwibua na kumleta kwetu Askofu Zachary Kakobe wa makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship Tanzania (FBGF).

Tazama na sikiliza kwa makini hadi mwisho video hii 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻ya dakika 9 tu na kisha baada ya hapo tia neno lako..
View attachment 2993508

Askofu Zachary Kakobe anatumia Biblical perspective (mtazamo wa ki-Biblia - Neno la Mungu) katika kujenga hoja yake juu ya mpango wa Mungu tangu mwanzo kuwapa kila watu nchi au mataifa yao yenye mipaka ulimwenguni pote...

Anasema Tanganyika kurudi ni swala la muda tu kwa sababu ni mapenzi ya Mungu kuwarejeshea Watanganyika nchi na taifa lao la Tanganyika lililopotezwa na Nyerere na wenzake wachache ktk mazingira ya ajabu yasiyoweza kuelezeka kirahisi na kueleweka kwa watu wenye akili timamu..

Anaendelea kusema kuwa, ndiyo maana kila mara hoja hii inapoonekana kama kupotea, ghafla baada ya muda Mungu huinua watu wengine vinara wa kuongoza vita ya madai ya nchi/taifa la Tanganyika kwa nguvu na kasi kubwa sana...

Haya anayaongelea kanisani kwake. Waumini wake wabaonekana kuelewa somo vizuri sana. Wanabebwa na hamasa ya nguvu kweli kuitaka Tanganyika yao..

Na mwisho Mwandishi Ansbert Ngurumo anahitimisha makala yake na swali: TUTAZUIA..?.........HADI LINI??
Umefanya vema ingawa hii hotuba ya Kakobe ni ya zamani. Ila Ngurumo ameileta /ameikumbushia wakati muafaka. Well presented!
 
Back
Top Bottom