Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 30,643
- 33,981
Pengine Sio Tone nzuri ya kubembeleza lakini kwa jambo hili naamini nilikuwa sahihi!
Haiwezekani tusifiane Wafanyabiashara wengi ni Waislaam kisha Maimamu wengi wanaotuswalishia Miskiti yetu na Waalimu wanaotufundishia Watoto wetu elimu ya dini wawe omba omba na malofa!!
Tufikirie sasa kutengeneza mifumo sahihi itakayoondoa kabisa hili tatizo kwa jamii yetu!!
Mtu akiwa Imaam au Ustaadh wa Madrasa licha ya kulipwa malipo mema na Allah lakini tuwalipe vizuri ili kazi wanayoifanya iwe na thamani duniani na akhera Insha'Allah 🙏🙏
Nb: Msisahau tukifa hawa tunaowadharau hv sasa ndio wanaotustiri kwa kutuosha na kutuweka Makaburini
Haiwezekani tusifiane Wafanyabiashara wengi ni Waislaam kisha Maimamu wengi wanaotuswalishia Miskiti yetu na Waalimu wanaotufundishia Watoto wetu elimu ya dini wawe omba omba na malofa!!
Tufikirie sasa kutengeneza mifumo sahihi itakayoondoa kabisa hili tatizo kwa jamii yetu!!
Mtu akiwa Imaam au Ustaadh wa Madrasa licha ya kulipwa malipo mema na Allah lakini tuwalipe vizuri ili kazi wanayoifanya iwe na thamani duniani na akhera Insha'Allah 🙏🙏
Nb: Msisahau tukifa hawa tunaowadharau hv sasa ndio wanaotustiri kwa kutuosha na kutuweka Makaburini