VIDEO: Askari wa Usalama Barabarani akichukua Rushwa - Juni 01, 2016

Kamishna mlowola achukue hatua sasa tena chin ya usaidiz wa ocs urafik nadhan anawajua waliokuwa doria muda huo
 
Sijaona jamaa akila mlungura au nirudie...bt waruhusu hii jamii iwe sehem ya kuwaumbua kwa video wala rushwa hasa trafic itasaidia sana...ngoja na mm niwinde nitawaleta humu
 
rushwa ni mbaya pia ni adui wa haki!
najua jamaa kibarua kitaota nyasi, sijui familia yake itakula nini! japo watanzania siku hizi wanafurahi sana wakiona mtumishi wa umma kapata matatizo kama haya (kutumbuliwa)

nafikiri tufikiri zaidi kwanini mtumishi wa umma anachukua rushwa,je mishaara midogo,ukosefu wa maadili ? tuje na suluhu ya tatizo hili la rushwa.
Suluhisho stahiki la kila anayechukua rushwa ni kumpeleka mahakamani ili ikithibitika afungwe. Kisingizio kwamba mishahara ni midogo hakitoshi kwa sababu hata wanaopata mishahara mikubwa sana wanachukua rushwa.
 
Hili nalo lina ukweli aisee..ila tatizo ni kua kila mmoja anakula kulingana na elimu yake. Alifeli form four sasa Leo unategemea mshahara wake uweje zaid ya laki mbili?

Sikuzote nasisitiza jeshi lifumuliwe na graduates waingie kazini baada ya mafunzo ya jeshi.
MISHAHARA YA LAKI MBILI HAPO HAPO UOE HAPO HAPO USAIDIE WAZAZI WAKO ????? PUMBAVU,WAO WANAJILIPA MAMILIONI KWA MWEZI
 
rushwa ni mbaya pia ni adui wa haki!
najua jamaa kibarua kitaota nyasi, sijui familia yake itakula nini! japo watanzania siku hizi wanafurahi sana wakiona mtumishi wa umma kapata matatizo kama haya (kutumbuliwa)

nafikiri tufikiri zaidi kwanini mtumishi wa umma anachukua rushwa,je mishaara midogo,ukosefu wa maadili ? tuje na suluhu ya tatizo hili la rushwa.
Unaposema mshahara mdogo. unamaanisha pesa ngapi?
Je unadhani wakipewa pesa ngapi itawatosheleza?
 
MISHAHARA YA LAKI MBILI HAPO HAPO UOE HAPO HAPO USAIDIE WAZAZI WAKO ????? PUMBAVU,WAO WANAJILIPA MAMILIONI KWA MWEZI
Hili swala mshahara hautoshi ni wimbo wa taifa zima aiseeee.....
Sasa wewe unapokuja na sera ya kuoa na kuwasidia wazazi wako, hapo inahusiana vipi na mshaha.
Na kwani iliandikwa wapi kwamba dawa ya kujiongezea mshahara ni kuchukua rushwa.
Na hiyo kazi unapoiona kama mshahara haukutoshelezi, kwanini usifanye mchakato wa kubadilisha aina ya kazi unayo ifanya?
Alafu nyie police punguzeni starehe aiseeee....
 
Mkuu kwa hiki ulichokifanya lazima upewe cheo cha mkurugenzi msaidizi wa takukuru. Tega sikio ukisikia mkubwa amefanya uteuzi amini utakuepo
 
Suluhisho stahiki la kila anayechukua rushwa ni kumpeleka mahakamani ili ikithibitika afungwe. Kisingizio kwamba mishahara ni midogo hakitoshi kwa sababu hata wanaopata mishahara mikubwa sana wanachukua rushwa.
suluhisho stahiki ni kila anaye toa na anayechukua rushwa wote wakamatwe
 
Tuwaumbue tu ila kwa wavubja sheria ni mtaji kwa Askari waendelee tu kujipatia biashara ya kufanya hukuu mauzo ya TBL yamedrop kwa takribani 30%
Sijui kwingineee
 
Nawameongezewa dili la kungoa na kuuza matairi ya magari mwaka huu kazi ipo
 
Hata kama kachukua rushwa video haijaonyesha akipokea. Hawa askari ni wajanja walihis hatari nao wakachukua kijanja. Hahaha hapo hafukuzwi mtu kazi
 
Back
Top Bottom