Njoo pm tuyajengeAs you said
Haaaaaaa kumbe hauko serious unataka tuweke hapa location afu wadau waiibukie show si itakua public????? If all applicants are selected then am not interestedHuwa sizungumzii uvunguni wewe weka mambo hadharani kama kweli unajiamini
Kuna anayependa company ya ndaniBadala ya kuomba msaada wa kumtoa baba watoto wakoo,,,, unaomba company ya nje?
Mimi sipo kama unavyomfanyia mume wako, mke wangu mke wangu namuheshimuKama ulivyo wewe ..ni hasara kubwa kwa mkeo.
Pole mkuu.Wandugu kama mjuavyo Leo ni siku maalum ya wanaopendanao.
Kwangu mm ni siku ya upweke kwa kuwa baba watoto aliitwa na makonda mpaka Leo hajarudi.
Nahitaji company kwa mwanaume yyte ambaye hana mpenzi Leo, na hii ni kwa Leo tu.
Karibu kwa aliye tayari