Uzi wa kuelezea matukio ya kutisha uliyowahi kukumbana nayo maishani, either ya kichawi,anything scary

Shukurani kwa mtoa uzi

Siku ambayo sitakuja kuisahau kamwe Maishani mwangu ni kipindi nasoma shule flani kule mkoani ruvuma nikiwa kidato cha sita, nikiwa naishi bweni , ni wiki kadhaa toka nijiapize moyoni mwangu kua ulokole siutaki tena,
Tukiwa tupo bwenini purukushani za viongozi a.k.a vilanja zikiwa zinaendelea za kututaka tuondoke bwenini, nikiwa naharaka ya kubeba material yangu niende darasan Mara niliona Pete( ndio pete unayoijua wewe ya kuvaa kidoleni) iliwa kwenye kitanda flani bila ya kujiuliza na kutafakari niliichua na kuondoka nayo adi darasani, nikiwa naendelea kusoma nikakumbuka juu ya ile Pete akiri yangu ikanituma nivae, nami bila kusita nikaivaa nikaendelea kusoam , Muda wa prepo ulipo isha nilirudi bwenini! Tukiwa tunaendelea na story Mara nikasikia mtu anasema kwa sauti ya chini na akiwa anauliza majirani wake kua kuna mtu amechukua Pete yake! Nilimsikia lakini nilimpuuza na nikapanga nimpe kesho yake, kwa hiyo nililala Nayo! MUNGU wangu nikiwa nimelala sikumbuki ilikua saa ngapi ! ilikuja ndoto ya ghafla nikaona Mtu akiwa amevaa nguo Nyeusi toka juu adi chini na USO wake akiwa ameufunika mkononi akiwa ameshika fimbo flani akaja adi pembeni ya kitanda changu na kuniangalia kwa sekunde kadhaa halafu akaninyooshea fimbo yake kisha akapotea nilistuka na nliogopa sana, nilipo tazama wenzangu nlisikia sauti za kukoroma tu hakna aliejua nini kilinitokea, nililala tena ghafla niliota namuona jirani yangu anapaa juu kitandani kwake akiwa amelala vile vile hiyo ndoto ikakata,------- lakini ghafla tulishitishwa na kelele za juu sanaa kama mtu analia kwa sauti kubwa ,wote tuliamka nakuanza kumuhoji , jamaa akasema nimeona mtu ananipaisha juu ndo nmeanguka! Kumbukumbu zangu zilirejea kwenye ndoto yangu! Lakini sikumwambia mtu yeyote , amini usiamini kesho nilipata msala msala wa ajabu ambao ulisababisha nikafukuzwa shule siku hiyo hiyo, Sitokuja kusahau hii kitu
Dah pole sana hukupata tena maruwe ya namna hiyo baada ya kufukuzwa? Na pete uliirudisha?
 
Me nakumbuka nikiwa moja Kati ya mbuga za wanyama kaskazini asubui ya saa10 tukiwa patrol (ndo tunarudi) Kumbe tunapita njia ya viboko (hippopotamus) kulikuwa na Giza kumbuka kwaiyo hatukuwaona mapema Wewe kuja kustukuka hao hapo!! Tulikuwa group na mm ndo nlikuwa mdogo na jinsia tofauti nikamshika mmoja wetu shati asee nilisukumwa nikadondoka chini nikakanyagwa kama ardhi Yaani nilihisi ndo siku yangu mwisho nikabaki Pekee Yang nimeumia natetemeka siwezi hata kunyanyua mguu nikicheki viboko (group) wenyewe wako jirani kabisa wanakuja taratibu ,,Yaani nilibiringita mpaka pembeni na Huku nasali sala zote hata maumivu sikusikia tena wakapita bila hata kunigusa ni mungu tuu,,baadae etii ndo wanakuja kunitafuta baada ya kujua sionekani
Duh ganja gal asee kiboko na ule mdomo wake ungekuwa kama soseji kwake
 
Jozay joo tupe zilipendwa hiyo ulipata msala gani? Inawezekana Pete ilisababisha? Uliirudisha kwa .mwenyewe.
Mkuu Pete niliirudisha kimya kimya kwenye kitanda nilipoikuta hata sikumwambia mtu, mida ya saa 5 asubuhi ndio nikafukuzwa shule moja kwa moja kwa kosa la kutokufanya usafi! ila barua ilisema nina kosa la utovu wa nidhamu lakini niliomba nipewe adhabu lakini walimu walipinga vikali.
 
Mkuu Pete niliirudisha kimya kimya kwenye kitanda nilipoikuta hata sikumwambia mtu, mida ya saa 5 asubuhi ndio nikafukuzwa shule moja kwa moja kwa kosa la kutokufanya usafi! ila barua ilisema nina kosa la utovu wa nidhamu lakini niliomba nipewe adhabu lakini walimu walipinga vikali.

Ulichukua mkoba wa mtu mkuu.
 
Me nakumbuka nikiwa moja Kati ya mbuga za wanyama kaskazini asubui ya saa10 tukiwa patrol (ndo tunarudi) Kumbe tunapita njia ya viboko (hippopotamus) kulikuwa na Giza kumbuka kwaiyo hatukuwaona mapema Wewe kuja kustukuka hao hapo!! Tulikuwa group na mm ndo nlikuwa mdogo na jinsia tofauti nikamshika mmoja wetu shati asee nilisukumwa nikadondoka chini nikakanyagwa kama ardhi Yaani nilihisi ndo siku yangu mwisho nikabaki Pekee Yang nimeumia natetemeka siwezi hata kunyanyua mguu nikicheki viboko (group) wenyewe wako jirani kabisa wanakuja taratibu ,,Yaani nilibiringita mpaka pembeni na Huku nasali sala zote hata maumivu sikusikia tena wakapita bila hata kunigusa ni mungu tuu,,baadae etii ndo wanakuja kunitafuta baada ya kujua sionekani
pole sana mkuu
 
Shukurani kwa mtoa uzi

Siku ambayo sitakuja kuisahau kamwe Maishani mwangu ni kipindi nasoma shule flani kule mkoani ruvuma nikiwa kidato cha sita, nikiwa naishi bweni , ni wiki kadhaa toka nijiapize moyoni mwangu kua ulokole siutaki tena,
Tukiwa tupo bwenini purukushani za viongozi a.k.a vilanja zikiwa zinaendelea za kututaka tuondoke bwenini, nikiwa naharaka ya kubeba material yangu niende darasan Mara niliona Pete( ndio pete unayoijua wewe ya kuvaa kidoleni) iliwa kwenye kitanda flani bila ya kujiuliza na kutafakari niliichua na kuondoka nayo adi darasani, nikiwa naendelea kusoma nikakumbuka juu ya ile Pete akiri yangu ikanituma nivae, nami bila kusita nikaivaa nikaendelea kusoam , Muda wa prepo ulipo isha nilirudi bwenini! Tukiwa tunaendelea na story Mara nikasikia mtu anasema kwa sauti ya chini na akiwa anauliza majirani wake kua kuna mtu amechukua Pete yake! Nilimsikia lakini nilimpuuza na nikapanga nimpe kesho yake, kwa hiyo nililala Nayo! MUNGU wangu nikiwa nimelala sikumbuki ilikua saa ngapi ! ilikuja ndoto ya ghafla nikaona Mtu akiwa amevaa nguo Nyeusi toka juu adi chini na USO wake akiwa ameufunika mkononi akiwa ameshika fimbo flani akaja adi pembeni ya kitanda changu na kuniangalia kwa sekunde kadhaa halafu akaninyooshea fimbo yake kisha akapotea nilistuka na nliogopa sana, nilipo tazama wenzangu nlisikia sauti za kukoroma tu hakna aliejua nini kilinitokea, nililala tena ghafla niliota namuona jirani yangu anapaa juu kitandani kwake akiwa amelala vile vile hiyo ndoto ikakata,------- lakini ghafla tulishitishwa na kelele za juu sanaa kama mtu analia kwa sauti kubwa ,wote tuliamka nakuanza kumuhoji , jamaa akasema nimeona mtu ananipaisha juu ndo nmeanguka! Kumbukumbu zangu zilirejea kwenye ndoto yangu! Lakini sikumwambia mtu yeyote , amini usiamini kesho nilipata msala msala wa ajabu ambao ulisababisha nikafukuzwa shule siku hiyo hiyo, Sitokuja kusahau hii kitu
Ikawaje sasa na ile pete. Ulisepa nayo?
 
Shukurani kwa mtoa uzi

Siku ambayo sitakuja kuisahau kamwe Maishani mwangu ni kipindi nasoma shule flani kule mkoani ruvuma nikiwa kidato cha sita, nikiwa naishi bweni , ni wiki kadhaa toka nijiapize moyoni mwangu kua ulokole siutaki tena,
Tukiwa tupo bwenini purukushani za viongozi a.k.a vilanja zikiwa zinaendelea za kututaka tuondoke bwenini, nikiwa naharaka ya kubeba material yangu niende darasan Mara niliona Pete( ndio pete unayoijua wewe ya kuvaa kidoleni) iliwa kwenye kitanda flani bila ya kujiuliza na kutafakari niliichua na kuondoka nayo adi darasani, nikiwa naendelea kusoma nikakumbuka juu ya ile Pete akiri yangu ikanituma nivae, nami bila kusita nikaivaa nikaendelea kusoam , Muda wa prepo ulipo isha nilirudi bwenini! Tukiwa tunaendelea na story Mara nikasikia mtu anasema kwa sauti ya chini na akiwa anauliza majirani wake kua kuna mtu amechukua Pete yake! Nilimsikia lakini nilimpuuza na nikapanga nimpe kesho yake, kwa hiyo nililala Nayo! MUNGU wangu nikiwa nimelala sikumbuki ilikua saa ngapi ! ilikuja ndoto ya ghafla nikaona Mtu akiwa amevaa nguo Nyeusi toka juu adi chini na USO wake akiwa ameufunika mkononi akiwa ameshika fimbo flani akaja adi pembeni ya kitanda changu na kuniangalia kwa sekunde kadhaa halafu akaninyooshea fimbo yake kisha akapotea nilistuka na nliogopa sana, nilipo tazama wenzangu nlisikia sauti za kukoroma tu hakna aliejua nini kilinitokea, nililala tena ghafla niliota namuona jirani yangu anapaa juu kitandani kwake akiwa amelala vile vile hiyo ndoto ikakata,------- lakini ghafla tulishitishwa na kelele za juu sanaa kama mtu analia kwa sauti kubwa ,wote tuliamka nakuanza kumuhoji , jamaa akasema nimeona mtu ananipaisha juu ndo nmeanguka! Kumbukumbu zangu zilirejea kwenye ndoto yangu! Lakini sikumwambia mtu yeyote , amini usiamini kesho nilipata msala msala wa ajabu ambao ulisababisha nikafukuzwa shule siku hiyo hiyo, Sitokuja kusahau hii kitu
Mkuu ulikuwwa shule gan?
 
Hata Mimi nawaza hivyo ! iLa jamaa mwenye ile Pete ni kichwa kweli darasani ndio alikua anategemewa, jamaa alikua fundi wa kupiga kinanda ile mbaya, na alikua kiongozi(mwenye kiti) wa kikundi cha (TYCS)

Wengine wanapewa ulinzi kwao, nakumbuka nilipokuwa o' level bwenini Mara ticha anatukana asubuhi asubuhi nyie wanafunzi washenzi sana nakwambia hamniwezi sisi tukabaki kutoa macho. Mwisho tukamuuliza Ticha tumekufanya nini? Au wameiba sefuria ya wali akasema ............ Alikuwa kuniwangia nimemuona anamchezea mtoto wangu.Ntammaliza asinichezee.
Ilikuwa mbaya sana aiseee na watu wengine walilalamika.
 
Aisee nimeisoma asubuhii hii,, alikua amevaa ni i huyo mtu? Ni mvulana su msichana?
kwa jinsi muonekano wake ulivyokuwa, ni mwanaume na alikuwa kifua wazi na kwa chini ni kama kajifunga msuli maana weupe wa kuanzia kiunoni ulikuwa mkali kuliko wa kifuani. Yaani alikuwa kama kapaka poda.
Lakini baada ya siku nyingi kupita maza alikuja kutueleza kuwa mtu aliyefanya ule uhuni ni Mzee mmoja alikuwa anakaa nyuma ya nyumba tuliyohamia. Alimegewa hiyo stori na wenyeji wa mtaani kuwa huyo Mzee mlozi balaa, na zile kelele zilifika mbali. Kwahiyo watu walijua kilichoendelea. Lakini cha ajabu, huyo Mzee aliyeshutumiwa kuwa ni mlozi, ndiye aliyekuwa wa kwanza kuja hom asubuhi kumuuliza bi mkubwa kuhusu kelele za watoto usiku.
 
kwa jinsi muonekano wake ulivyokuwa, alikuwa kifua wazi na kwa chini ni kama kajifunga msuli maana weupe wa kuanzia kiunoni ulikuwa mkali kuliko wa kifuani. Yaani alikuwa kama kapaka poda.
Lakini baada ya siku nyingi kupita maza alikuja kutueleza kuwa mtu aliyefanya ule uhuni ni Mzee mmoja alikuwa anakaa nyuma ya nyumba tuliyohamia. Alimegewa hiyo stori na wenyeji wa mtaani kuwa huyo Mzee mlozi balaa, na zile kelele zilifika mbali. Kwahiyo watu walijua kilichoendelea. Lakini cha ajabu, huyo Mzee aliyeshutumiwa kuwa ni mlozi, ndiye aliyekuwa wa kwanza kuja hom asubuhi kumuuliza bi mkubwa kuhusu kelele za watoto usiku.
dah wachawi bnh , ila hata mimi ninapoishi kuna vitu vya ajabu sana mfano usiku nasikia sauti za mtu kutembea, mara taa zitazimika, pia nasikia milango inajifunga ilhali hakuna nafasi ya upepo kuingia kwani madirisha yamefungwa, ila tukaambiwa ni mzimu wa fundi fulani aliyekufa wakati nyumba inajengwa ila siamini hizo story ,pia kuna muda utaweka kitu sehemu flani badae unakuta kimekua placed sehemu tofauti ilhali upo mwrnyewe ndani...
 
dah wachawi bnh , ila hata mimi ninapoishi kuna vitu vya ajabu sana mfano usiku nasikia sauti za mtu kutembea, mara taa zitazimika, pia nasikia milango inajifunga ilhali hakuna nafasi ya upepo kuingia kwani madirisha yamefungwa, ila tukaambiwa ni mzimu wa fundi fulani aliyekufa wakati nyumba inajengwa ila siamini hizo story ,pia kuna muda utaweka kitu sehemu flani badae unakuta kimekua placed sehemu tofauti ilhali upo mwrnyewe ndani...
Ningekuwa me na huu uoga Wangu haki ningekufa asee
 
dah wachawi bnh , ila hata mimi ninapoishi kuna vitu vya ajabu sana mfano usiku nasikia sauti za mtu kutembea, mara taa zitazimika, pia nasikia milango inajifunga ilhali hakuna nafasi ya upepo kuingia kwani madirisha yamefungwa, ila tukaambiwa ni mzimu wa fundi fulani aliyekufa wakati nyumba inajengwa ila siamini hizo story ,pia kuna muda utaweka kitu sehemu flani badae unakuta kimekua placed sehemu tofauti ilhali upo mwrnyewe ndani...
Walozi sio watu wazuri kabisa. Kuna mkasa mwingine nilikutana nao miaka hii ya 2000s. Mimi huwa napenda sana kurudi home usiku au hata nikisafiri nifike sehemu usiku ili asubuhi watu washtukie niko mtaani.
Sasa siku moja nimetoka mizunguuko yangu ya kawaida ilikuwa Moro hiyo. Mida ya saa tano usiku narudi home huku nawaza ntawaambia wazee sababu gani ya kuchelewa. Maana walikuwa sheria saa tatu nisiwe nje ya nyumba.
Sasa nikawa nakaribia nyumbani, na kwa macho napaona ila hakuna njia ya mkato ya kupita bali kuna kauchochoro kakuzunguuka ndio utokee njia kubwa ndio uingie ndani.
Nikawa nakiwaza hicho kichochoro maana kina simulizi mbovu kweli, nikapiga Moyo konde ila nikaamua kuongeza spidi ili nivuke ilo eneo haraka.
Basi nikachanganya mwendo balaa huku nywele na mwili wote unanisisimka. Ile nimefika katikati ya kile kichochoro, hamad! Nikakutana na kitu ambacho hadi leo sijakielewa, kwamba kilimaanisha nini? siku itabidi nimuulize Mshana Jr.
Nilikuta bonge la kinu cha kutwangia kimewekwa katikati ya ile njia. Ni Mungu tu alinilinda, maana kwa ile spidi ningekivaa tu!! Niliogopa sana, ila akili ilifanya kazi haraka, nikapita kwa pembeni. Hiyo spidi niliyotoka nayo hapo, hata bombadier isingefua dafu. Sikuwasimulia nyumbani hadi nilipokuwa nimeanza maisha yangu, maana ningekula hamsa vilevile na uhenga wangu.
 
Back
Top Bottom