Uwezo wa kufanya mapenzi katika Jamii hushuka kila uchwao...

Bull Striker

JF-Expert Member
Dec 2, 2018
379
797
Jamii sasa imekumbwa na kupungufu uwezo wa kufanya mapenzi.
Labda vizazi vyetu havina nguvu wala uwezo huwenda kutokana na sababu mbali mbali.
Mfano moja wanawake wawili Kati ya kumi ndo huweza kufika kilele (Mshindo)
Wanawake wengi wanafanya mapenzi na hawafiki kileleni.

Wanaume wengi kupungua uwezo wakurudia round zaidi ya mbili Kwa fikra zao mbali mbali.
Wanaume 10 basi wa 4 ndo wenye uwezo wa kuunga ama kurudia round pasipo msukumo mbalimbali kama (foreplay),
Ikijumuishwa na wanaume kutongoza na kusimama kama mwanaume pale unapo kuwa mbele ya mwanamke.

Pamoja na yote hayo Northern Country wakaja na solution ya moja Kati ya nyingi Mfano usambazaji wa Sex toys...
Mfano; vibrator Kwa wanawake na wamekuwa wakienda mbali Sana kwakusema open discussion Kwa mapatners nakupeana feelings ikiwa na msukumo wa Ku initiates feeling by applying toys hupelekea stimulation za juu na wote kumfikia Mshindo na Caples Kuremain so strong.
Na ndomaana wakaenda mbali nakuamini Sex is like an art of two partners to relax,enjoy and for brain health.Is importance of sex.
Sex imepungua ikiwa ina uhitajio mkubwa Sana kwenye maisha yetu.
Sex imekuwa Kama bidhaa unaenda Dukani kununua.

Any way swala la elimu na kukubali mabadiliko limekuwa swala gumu Sana.
Mfano;Toys ni moja ya vifaa muhimu katika kukabiliana na swala la kumfikia Mshindo (climax ) kama ilivyo mashine zingine eg AI.

Wengi tunakubali mabadiliko lakini mengine tuna yakataa.
Ni Muda Jamii kutumia akili dhidi ya hii changamoto.
Acha niishie hapa...
Nisomo flan hivi..
Labda niulizie vipi hapa Bongo kwetu ujio na mapokeo ya Toys yakoje...???
Asanteni sana
 
Vijana ngono imewakaa sana akilini, vijana wanazagamuana kama kawa.
Hayo mambo ya nguvu ni propaganda zinakuzwa tu ila tatizo sio kubwa kiasi hicho.
Wanazagamuana...sanaaaa
Lakini hawajui feelings and sex driving well.
Wana sex as like a biological body formula nothing else.
Sex is life and make family healthy and partnership.
 
Jamii sasa imekumbwa na kupungufu uwezo wa kufanya mapenzi.
Labda vizazi vyetu havina nguvu wala uwezo huwenda kutokana na sababu mbali mbali.
Mfano moja wanawake wawili Kati ya kumi ndo huweza kufika kilele (Mshindo)
Wanawake wengi wanafanya mapenzi na hawafiki kileleni.

Wanaume wengi kupungua uwezo wakurudia round zaidi ya mbili Kwa fikra zao mbali mbali.
Wanaume 10 basi wa 4 ndo wenye uwezo wa kuunga ama kurudia round pasipo msukumo mbalimbali kama (foreplay),
Ikijumuishwa na wanaume kutongoza na kusimama kama mwanaume pale unapo kuwa mbele ya mwanamke.

Pamoja na yote hayo Northern Country wakaja na solution ya moja Kati ya nyingi Mfano usambazaji wa Sex toys...
Mfano; vibrator Kwa wanawake na wamekuwa wakienda mbali Sana kwakusema open discussion Kwa mapatners nakupeana feelings ikiwa na msukumo wa Ku initiates feeling by applying toys hupelekea stimulation za juu na wote kumfikia Mshindo na Caples Kuremain so strong.
Na ndomaana wakaenda mbali nakuamini Sex is like an art of two partners to relax,enjoy and for brain health.Is importance of sex.
Sex imepungua ikiwa ina uhitajio mkubwa Sana kwenye maisha yetu.
Sex imekuwa Kama bidhaa unaenda Dukani kununua.

Any way swala la elimu na kukubali mabadiliko limekuwa swala gumu Sana.
Mfano;Toys ni moja ya vifaa muhimu katika kukabiliana na swala la kumfikia Mshindo (climax ) kama ilivyo mashine zingine eg AI.

Wengi tunakubali mabadiliko lakini mengine tuna yakataa.
Ni Muda Jamii kutumia akili dhidi ya hii changamoto.
Acha niishie hapa...
Nisomo flan hivi..
Labda niulizie vipi hapa Bongo kwetu ujio na mapokeo ya Toys yakoje...???
Asanteni sana
Kwahiyo unanunua unaenda kumpigisha nyeto mkeo au sio
 
Wanazagamuana...sanaaaa
Lakini hawajui feelings and sex driving well.
Wana sex as like a biological body formula nothing else.
Sex is life and make family healthy and partnership.
Kwamba hawaridhishani??

Kuunga baada ya kupizi tunaoweza ni wachache na hilo pia sio tatizo kwa wasioweza.
Kama nilivyokwambia hiyo ishu inakuzwa sana sana, imefika hatua hata mtu asie na tatizo nae anajihisi ana tatizo.

Sex toys sio nzuri kijamii hasa za huku kwetu, binafsi siziafiki zitaua sana mahusiano ikiwa bado tunayahitaji kwa ustawi wa jamii zetu.
 
Mungu atufanyie miujiza nasi wanadamu tuanze kunusa kama wanyama ili wagegedwe

Au ,kwamwaka iwe mara 4 kila baada ya miezi 3 wanadamu tuwe na wiki ya kugegedana
 
Wakati uliopita sehemu za Siri zilikuwa adimu kuonekana, ukiiona inakuwa kama Mtu alipata dhahabu ya thamani. Unakuwa turned on to the maximum.!

Siku hizi Kuna sehemu za Siri?
 
Kwamba hawaridhishani??

Kuunga baada ya kupizi tunaoweza ni wachache na hilo pia sio tatizo kwa wasioweza.
Kama nilivyokwambia hiyo ishu inakuzwa sana sana, imefika hatua hata mtu asie na tatizo nae anajihisi ana tatizo.

Sex toys sio nzuri kijamii hasa za huku kwetu, binafsi siziafiki zitaua sana mahusiano ikiwa bado tunayahitaji kwa ustawi wa jamii zetu.
Nikweli pia ispokuwa feelings na sex as needed part iko very shallow as i spoke there.
Any way niswala lakujua Jamii sasa ina shida hii
 
Back
Top Bottom